Mbinu Za CCM kuongeza mafuriko mikutanoni (sample ya barua)

Mbinu Za CCM kuongeza mafuriko mikutanoni (sample ya barua)

Man Mudi

Senior Member
Joined
Oct 13, 2014
Posts
159
Reaction score
114
11988199_777222315719451_3548269766870252472_n.jpg 12003159_777222292386120_1159199563692435503_n.jpg
 
Hakika wameumbuka ndiyo maana wanachukuwa hata wanafunzi kuwavalisha kanga na sare angalau

waonekane wana watu wengi
 
Photoshop... (kwa maneno ya JK)
Maana hakuna namna nyingine kukanusha 'uzushi' huu!!
 
Tatizo ni nini hapo?

Wananchi ndio wanatakiwa kwenda kusikiliza sera au kiongozi ndio anataka akasikilizwe sera???? Kwa nini wasombe watu????? .

au ndio kutimiliza methali hii "Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza.
 
Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao inasemaje kuhusu ishu kama hii? Hii kama ni official document na imeletwa humu bila ridhaa ya taasisi husika nadhan mleta uzi tcra wanakuhusu...!!!
 
Sasa kuna tatizo gani kwa ccm kuchukua wanachama wake kwenda kusikiliza sera za mgombea wao ukizingatia maeneo mengine hatafika pia ni hiari na wala sio lazima unaeza ukaacha kwenda kama hutaki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom