Tatizo ni nini hapo?
Hakuna Tatizo...Makatibu wa kata CCM wameagizwa kuwaanda watu wa kwenda kwenye mkutano wa CCM.
Tatizo ni nini hapo?
Na by any means, thamani ya damu ya watanzania wenzetu hao wawili waliokufa kwenye mkutano wa kampeni za CCM Morogoro ina thamani mara trillions kuliko Magufuli kuwa Rais wa nchi hii!!
Kwa nchi zinazojali utu na thamani ya uhai wa mtu, Magufuli angesha step out of the context kwa sbb kwa vyovyote, hii ni ishara ya nuksi kwake na kuwa tutakuwa na Rais wa hovyo tu huko mbeleni kama huyu jamaa atachaguliwa, Mungu apishie mbali isitokee!!
Photoshop... (kwa maneno ya JK)
Maana hakuna namna nyingine kukanusha 'uzushi' huu!!
Tatizo ni nini hapo?
Hakika wameumbuka ndiyo maana wanachukuwa hata wanafunzi kuwavalisha kanga na sare angalau
waonekane wana watu wengi
Hahahahahha wanahaha sana sana.... Jana Abooud alisomba watu kutoka kila kona ya Morogoro na Iringa
CCM kipo miaka yote na kimekuwa kikishiriki chaguzi mbalimbali na kimekuwa kikishinda
Pole yao twende kwa usafiri wetu kwa Lowassa huko hakuna nukusi watu wanakuja wenyewe na wanarudi salama majumbani kwao
Hakuna tatizo, ila nakudedicate wimbo wa Rose Mhando wa '' Nibebe''... Kwishaaaa!! Ukoo wa panya...
Kwa sababu ni mpakwa mafuta
Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao inasemaje kuhusu ishu kama hii? Hii kama ni official document na imeletwa humu bila ridhaa ya taasisi husika nadhan mleta uzi tcra wanakuhusu...!!!
Kuna kijana wa darasa la tano amekufa morogoro. Ivi kwenye kampeni alienda kufanya nini????? Kura hapigi, hana anachoweza kuelewa sera wala kupima uongo na ukweli. Sasa kafa.....Loading........
Ivi uwanja una milango 8 iweje ikafunguliwa 3. Hapo kwanini mtu hawajibiki kwa hivi vifo.