Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
Kwan kuna kura zilizopigwa pale ?Team Lowasa walipiga kura ya NDIYO ana HAPANA kumchagua mwenyekiti wa CCM?
Kwan kuna kura zilizopigwa pale ?Team Lowasa walipiga kura ya NDIYO ana HAPANA kumchagua mwenyekiti wa CCM?
Wanataka kuteuliwa na Magufuli hao so hawawezi kataa lolote!Walikuwepo Nchimbi na Sophia Simba
Team Lowasa wameshaanza kutubu..... Kwa JPM kila goti litapigwaTeam Lowasa walipiga kura ya NDIYO ana HAPANA kumchagua mwenyekiti wa CCM?
Mkuu wewe ni kibaraka wa ufipa kama wamejipenyeza sasa walishindwa vipi kujipenyeza uchaguzi ulioisha??
Na kumpa ushindi??
Watajuta kuamishia kinyesi kwa sebureChadema kumpokea Lowasa ni sawa na kujipaka kinyesi ..
Lizaboni usibishe. Mimi kuna mmoja kabisa kateuliwa kuwa DC na ni timu lowasa na siku moja ktk maongezi alimtusi sana JPM kwa kumuita sera zake za hovyo na pia ni dikiteta na hajui kuongoza. Ila alipoteuliwa sikutaka hata kumkumbusha ila ni mwenye wasiwasi akidhani nitamripoti. Hivyo with time anaweza kubadilika maana tukumbuke hata JPM alipoteuliwa na JK uwaziri hakuwa timu yake lakini ona alivyobadilika na kuwa nguzo muhimu ya serial ya JK. Want CCM tukiri tu kuwa virusi vya team lowasa haviepukiki viko vingi mno, ila with time lowasa vitamkimbia.
Lowasa leo hii amekuwa icon ya Chadema..Watajuta kuamishia kinyesi kwa sebure
Hizi hoja utawaona wakija kukujibuLowasa leo hii amekuwa icon ya Chadema..
NB:
Naomba Chadema watureheshee List ya Mafisadi ktk website ya chama
Hivi kura walipata muda hata wa kuzihesabu? Jecha akiwemo! Sita mzee wa katiba akiwemo! Acha utani mkuu!Team Lowasa walipiga kura ya NDIYO ana HAPANA kumchagua mwenyekiti wa CCM?
Hebu soma tena ulichoandika mkuuTeam Lowasa walipiga kura ya NDIYO ana HAPANA kumchagua mwenyekiti wa CCM?
Lowassa ni mwanasiasa mbobezi. Ni mwanasiasa aliyelelewa,kuiva na kujiimarisha ndani ya CCM. Ni kati ya wanasiasa ambao wamefanikiwa kuunda mfumo kupitia wafuasi na wanaowaunga mkono. Kama Mwenyekiti Mstaafu Kikwete alivyokiri,Lowassa si wa kubezwa.
Ingawa Lowassa anahusishwa na wizi na ufisadi,wapo wanaoamini ni msafi,mwema,imara na mwenye uwezo wa kuongoza. Wanamuunga mkono wapo vyama vyote. Ndiyo mfumo wenyewe alioujenga. Binafsi,nambeza kwa tahadhari kubwa. Simtenganishi na ufisadi hasa wa Richmond. Lakini,ana nguvu ya kimfumo.
TeamLowassa sasa ina mbinu ya ukimya. Kimyakimya. Hawajitaji kimahitaji na kuvuliwa taji. Wako kimya. TeamLowassa wamejipenyeza kwenye teuzi mbalimbali serikalini kimyakimya.
Kwa ilivyotapakaa TeamLowassa, isingewezekana teuzi ziwaruke wote viunzi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Hahaha mie simoWewe ndiwe Petro. Na juu ya Mamba huu nitalijenga kanisa langu
Je Luhwavi alipiga kura ya ndiyo ama hapana kumchagua mwenyekiti wa CCM?Team Lowasa walipiga kura ya NDIYO ana HAPANA kumchagua mwenyekiti wa CCM?
Kwa watu wanaokusikiliza wewe wana tatizo kichwani.Lowassa ni mwanasiasa mbobezi. Ni mwanasiasa aliyelelewa,kuiva na kujiimarisha ndani ya CCM. Ni kati ya wanasiasa ambao wamefanikiwa kuunda mfumo kupitia wafuasi na wanaowaunga mkono. Kama Mwenyekiti Mstaafu Kikwete alivyokiri,Lowassa si wa kubezwa.
Ingawa Lowassa anahusishwa na wizi na ufisadi,wapo wanaoamini ni msafi,mwema,imara na mwenye uwezo wa kuongoza. Wanamuunga mkono wapo vyama vyote. Ndiyo mfumo wenyewe alioujenga. Binafsi,nambeza kwa tahadhari kubwa. Simtenganishi na ufisadi hasa wa Richmond. Lakini,ana nguvu ya kimfumo.
TeamLowassa sasa ina mbinu ya ukimya. Kimyakimya. Hawajitaji kimahitaji na kuvuliwa taji. Wako kimya. TeamLowassa wamejipenyeza kwenye teuzi mbalimbali serikalini kimyakimya.
Kwa ilivyotapakaa TeamLowassa, isingewezekana teuzi ziwaruke wote viunzi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
We sema lowassa kapenyeza watu cdm yote ndio maana Mbowe hafurukuti lkn si serikali ya MagufuliLowassa ni mwanasiasa mbobezi. Ni mwanasiasa aliyelelewa,kuiva na kujiimarisha ndani ya CCM. Ni kati ya wanasiasa ambao wamefanikiwa kuunda mfumo kupitia wafuasi na wanaowaunga mkono. Kama Mwenyekiti Mstaafu Kikwete alivyokiri,Lowassa si wa kubezwa.
Ingawa Lowassa anahusishwa na wizi na ufisadi,wapo wanaoamini ni msafi,mwema,imara na mwenye uwezo wa kuongoza. Wanamuunga mkono wapo vyama vyote. Ndiyo mfumo wenyewe alioujenga. Binafsi,nambeza kwa tahadhari kubwa. Simtenganishi na ufisadi hasa wa Richmond. Lakini,ana nguvu ya kimfumo.
TeamLowassa sasa ina mbinu ya ukimya. Kimyakimya. Hawajitaji kimahitaji na kuvuliwa taji. Wako kimya. TeamLowassa wamejipenyeza kwenye teuzi mbalimbali serikalini kimyakimya.
Kwa ilivyotapakaa TeamLowassa, isingewezekana teuzi ziwaruke wote viunzi!
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam