Mbinu kuu ya TeamLowassa hii hapa

Mbinu kuu ya TeamLowassa hii hapa

TeamLowasa Ni Mtandao Mkali Sana!Naamini Katika Kila Watu Wa 3,Wawili ni Wa Lowasa!
 
Mheshimiwa Mwenyekiti hataki makundi ndani ya Chama Chake.....Yeye hayuko upande wowote...Chama chote ni chake hataki kuwa na kundi.

Wataalamu wa Political Science na Critical Thinking waje watusaidie hapa:

1. Je rais kuchaguliwa kwa 100% ya kura zote za wajumbe ni ushindi kweli au kuna walakini?
2. Kwa uzoefu wa siasa za vyama duniani, je ni rahisi kwa chama kuepuka makundi kwa 100%?
Mkuu CCM hii ya akina Lizaboni ni WAHUNI tu
Nia ni kuonyesha kuwa CCM HAINA MAKUNDI
CCM Lowassa walipiga kibao kura za HAPANA
 
Sasa hivi muda wa kufanya kazi kuona tunasongaje mbele watu wako busy na teams, mtu mwenyewe babu huyu kazeeka bado tu mpaka awe kijeba
 
TeamLowasa Ni Mtandao Mkali Sana!Naamini Katika Kila Watu Wa 3,Wawili ni Wa Lowasa!
Ingekuwa ni hivyo bungeni UKAWA mngetoa Spika na naibu spika.Endelea kuota utakuwa umelogwa
 
TeamLowasa ilikufa rasmi alipohamia chadema na team yake, ila sasa imeibuka team mpya inajulikana kama TEAM MIKIA hawa ni zile Returninwards kwa lugha ya kihasibu
 
MNHHHH...YANI UMEFIKIRIA KAMA MIMI NILIVYOKUWA NAFIKIRIAGA....

"YANI KWELI WATEULE WOTE WALE KUANZIA MAWAZIRI MPAKA WAKURUGENZI WA SERIKALI ZA MITAA HAKUNA WANAOMPENDA NA KUMUAMINIA MZEE LOWASSA?..YANI KWELIII?"

MAANA HATA WALE WALIOIMBA "TUNAIMANIIIII NA LOWASAAAA"....BADO WAPO CHAMANI, PIA WALE WALIOREJEA CHAMANI JUZI KWA MBWEMBWE ZOTE KWELI MAPENZI YA DHATI KWA MZEE WETU LUWASSA YAMEISHA?...YAMEMALIZWA NA NINI?...TOKEA LINI?...NAJIULIZAGAAAAAAAA MPAKA NALALA USIKU WA MANANE LAKINI BADO SIPATI JIBU....

ILA INAWEZEKANA WATU WA LOWASSA NA MEMBE WOOOTE WAMETAKASWA NA DAMU YA "MWANAKONDOO KIASI KWAMBA SASA NI WASAFI NA HAWANA MAWAAA".....KURA ZOTE ZA MKUTANO MKUU ZILIKUWA NDIOOOOOO...DAHH.. HII NI HATAREEE MAANA WATAALAMU WANASEMA HATA MBINGUNI KURA ZIKIPIGWA ZA SIRI BADO SIR GOD ANAWEZA ASIPATE 100% COZ KUNA KINA LUSIFER AU HATA WAJUKUU WA LUSIFER WATAPIGA KURA ZA HAPANA HATA MOJA AU MBILI....ILA KWETU ZOOOTE HAKUNA HATA MOJA YA HAPANA.

PIA NAJIULIZAGA "IKATOKEA MWENYEKITI AKAAMUA KUSAFISHA CHAMA...MBONA ATABAKI MWENYEWE",,,MAANA YEYE TUU NDIO HAKUWA NA TEAM....YANI USAFISHE TEAM LOWASSA SIJUI UTABAKIA VIPI NA TEAM MEMBE MAANA HATA YEYE HAJAPEWA SHAVU LOLOTE WALA WASHIKAJI ZAKE....NAKUMBUKAGA KALE KA-MSEM KWA WAZUNGU "IN A BATTLE FIELD THERE IS NO NEUTRAL GROUNDS...YOU EITHER CHOOSE A SIDE OR YOU ARE A TRAITOR ON BOTH SIDES"
PATAMU HAPO.....MWENYEKETI AANZE NA HILO....ACHAGUE UPANDE KISHA APUTE MCHANGA THEN AKINUKISHE OR ELSE..AWE ADUI WA WOTE AJIPANGE KUPAMBANA NAO WOTE KWA MPIGO.

NI MAONI NA MTAZAMO TUU.....
Hata Kassim majaliwa aliimba
 
Je rais kuchaguliwa kwa 100% ya kura zote za wajumbe ni ushindi kweli au kuna walakini?

Kamuulize Lowasa alipataje kura asilimia 100 kuwa mgombea pekee wa uraisi kupitia CHADEMA kwenye mkutano
 
kama ccm ilipigisha marehemu kura na walio safarini, itashindwaje kuweka kura zote za ndiyo Dodoma ili kmfurahisha mkubwa. shida ni kuwa mkubwa mwenyewe anapenda sana sifa, so wakaamua kumpa sifa. muda ndo utaamua
 
Nasikia siku hizi hawana haja na mikutani ya hadhara wapo kimtandao zaidi siku Dr akishtuka tayari CHADEMA watakuwa na wanachama milion 15 ukilinganisha na milion 8 wa kununuliwa kadi Ikulu mwaka 2020 nyeupeeee.
LABDA IKULU YA MCHANGANI AU YA PORINI NDO NYEUPE MTASUBIRI SANAAAAAAAAAA
 
Aiseee huyu mzee Lowassa hata ufanye nin mtandao wake mkubwa sana tutarajie mengi kutoka kwake anaijua CCM vizuri....
 
kama ccm ilipigisha marehemu kura na walio safarini, itashindwaje kuweka kura zote za ndiyo Dodoma ili kmfurahisha mkubwa. shida ni kuwa mkubwa mwenyewe anapenda sana sifa, so wakaamua kumpa sifa. muda ndo utaamua
UNA UHAKIKA?ACHA KUROPOKAROPOKA
 
aiseee huyu mzee lowassa hata ufanyenin mtandao wake mkubwa sana tutalajie mengi kutoka kwake anaijua ccm vizuri....

Angekuwa na mtandao mkubwa kama anavyojigamba jina lake lisingekatwa CCM na asingeshindwa uchaguzi lakini pia angekuwa na mtandao mkubwa Spika angekuwa mtu wa UKAWA na naibu spika angekuwa mtu wa UKAWA.Endeleeni kumpa sifa hewa asizokuwa nazo muendelee kumkwapua pesa zake
 
Lizaboni usibishe. Mimi kuna mmoja kabisa kateuliwa kuwa DC na ni timu lowasa na siku moja ktk maongezi alimtusi sana JPM kwa kumuita sera zake za hovyo na pia ni dikiteta na hajui kuongoza. Ila alipoteuliwa sikutaka hata kumkumbusha ila ni mwenye wasiwasi akidhani nitamripoti. Hivyo with time anaweza kubadilika maana tukumbuke hata JPM alipoteuliwa na JK uwaziri hakuwa timu yake lakini ona alivyobadilika na kuwa nguzo muhimu ya serial ya JK. Want CCM tukiri tu kuwa virusi vya team lowasa haviepukiki viko vingi mno, ila with time lowasa vitamkimbia.

Ulichokisema kina ka ukweli,lakin jpm ameshawambia watubu,wasipotubu wakitumbuliwa shauri zao
 
Walikuwepo Nchimbi na Sophia Simba

Nasikia alipata 48% huku kura za hapana zikiwa 52%,wazee wa chama wakasema 48%+52% ni sawa na 100% yakatangazwa matokeo walisema hapana wakageuziwa kibao walisema ndio na walio sema ndio wakaachwa kama zilivyo.
 
Naomba kuuliza hao team Lowasa hata Chadema wapo.?
 
Back
Top Bottom