Nkerebhuke
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 793
- 2,007
Kuna kundi kubwa sana la watu ambao wanapenda kuona, kusoma na kusikia habari za uwanja wa medani hii inatokana na ukweli kuwa vita ndio jambo gumu sana kufanywa na mwanadamu. Katika dunia ya leo kila jambo lina taaluma yake hata vita pia ni taaluma pana inayohusisha mbinu, mikakati, silaha, propaganda, hujuma, utawala na uchumi.
Katika makala hii naomba kuwakaribisha wajuvi wa mbinu za medani kwa kurejea uwezo wa kimbinu kati ya jeshi la urusi na ukraine. Wajuvi wa mambo ya vita waliwahi kubashiri kuwa russia angeweza kumaliza operation yake ndani ya masaa 72 lakini hali imekuwa tofauti kwani ni miezi mitatu sasa vita inaoendelea na majeshi yanaendelea kujibishana mapigo.
Kutokana na vyanzo mbalimbali vya tv na intelligence blog vimebainisha kuwa russia anatumia mbinu ya ' battalion tactical group'' yaani nikikundi chenye combat unit zote yaani infantry, tank, artillery regiment. Mbinu hii imeonekana kuwa dhaifu kwa maana yakuwa vifaru vingi vitandikwa sana askari wameonesha uwezo mdogo wa kusonga mbele. Hii mbinu ikitumiwa vizuri huleta ushindi wa haraka kweni vikosi vinaweza kusonga mbele kwa haraka sana kwani vinakuwa ensured na fire support.
Takio la kupigwa kwa battalion iliojaribu kuvuka mto ni moja ya udhaifu we hii mbinu, maana inakuwa na mkusanyiko mkubwa wa magari ya logistic, tanks na magari ya askari. Naomba kuishia hapa kuwapa nafasi wajuvi wengine wa mambo ya medani karibuni.
Katika makala hii naomba kuwakaribisha wajuvi wa mbinu za medani kwa kurejea uwezo wa kimbinu kati ya jeshi la urusi na ukraine. Wajuvi wa mambo ya vita waliwahi kubashiri kuwa russia angeweza kumaliza operation yake ndani ya masaa 72 lakini hali imekuwa tofauti kwani ni miezi mitatu sasa vita inaoendelea na majeshi yanaendelea kujibishana mapigo.
Kutokana na vyanzo mbalimbali vya tv na intelligence blog vimebainisha kuwa russia anatumia mbinu ya ' battalion tactical group'' yaani nikikundi chenye combat unit zote yaani infantry, tank, artillery regiment. Mbinu hii imeonekana kuwa dhaifu kwa maana yakuwa vifaru vingi vitandikwa sana askari wameonesha uwezo mdogo wa kusonga mbele. Hii mbinu ikitumiwa vizuri huleta ushindi wa haraka kweni vikosi vinaweza kusonga mbele kwa haraka sana kwani vinakuwa ensured na fire support.
Takio la kupigwa kwa battalion iliojaribu kuvuka mto ni moja ya udhaifu we hii mbinu, maana inakuwa na mkusanyiko mkubwa wa magari ya logistic, tanks na magari ya askari. Naomba kuishia hapa kuwapa nafasi wajuvi wengine wa mambo ya medani karibuni.