Wewe una uhakika kama kuna vita kati ya Russia na Ukraine?Unataka wataalamu wa mbinu za kivita wajiunge na uzi wako walete uchambuzi wao.Inabidi wewe mwenyewe kwanza uwe na utaalamu wa hayo mambo lakini inaonekana uko mbali sana na mambo ya kijeshi na mbinu za kivita.Na inaonekana hufai kupewa hata cheo cha kuongoza askari kanzu katika vita kwani unatishwa haraka na propaganda za adui.Una uhakika gani kuwa bataliani ya Urusi imeteketezwa na kwamba huo ndio mwisho wa kuvuka huo mto hata kama walipata kikwazo mara ya 1