fute alexander
JF-Expert Member
- Jun 14, 2017
- 382
- 148
Maisha yako yakiisha basi tena
Popote pale alipo binadamu mbinguni atafika tu ila sio kwa chopper boxer au toyo, tukaze tu ndugu tutaenda tujitahid kutiiKwahiyo binaadam wote tukikaa tz tutaenda mbinguni...
nitajaribu kukujibu kutokana na imani ya kiisilamu.
Allah (Mungu) anaishi kwenye Arsh yake (Throne) ambayo ipo juu ya maji na chini yake kuna Kursy, na chini ya kursy kuna mbingu saba na kwenye mbingu ya saba ndio tupo sisi.
umbali toka mbingu moja mpaka nyengine ni miaka 500 ila haikulezwa ni kwa scale gani,
ili kupata idea kidogo tuangalie ukubwa wa hii mbingu yetu kwa kuangalia ukubwa wa galaxy kwa kutumia science ya sasa.
kwa science ya sasa inachukua miaka 100,000 kutembea kwa spidi ya mwanga kuanzia mwanzo wa galaxy yetu mpaka mwisho. na kuna scientist walichunguza kisehemu kidogo tu cha anga na kukuta galaxies zaidi ya 10,000 wengine wanasema kuna zillion of gallaxies kwenye mbingu hii.
![]()
hivyo unaweza uka estimate mwenyewe hapo distance baina ya mbingu na mbingu mpaka unafika kwenye kursy na Arsh.
kwenye simulizi mbalimbali za kiisilamu mbigu saba compare na kursy ni kama udondoshe pete kwenye jangwa, na kursy compare na Arsh ni kama udondoshe tena pete kwenye Jangwa. hivyo Arsh ni kubwa sana, kupita hizo mbingu 7. Arsh ndio kiti cha Ufalme cha mwenyewe Mungu.
Angalia hii video kufahamu zaidi.
Anzia dakika ya 6 sekunde ya 55 ndio anaanza kuelezea umbali na Kiti cha Ufalme (Arsh)
nitajaribu kukujibu kutokana na imani ya kiisilamu.
Allah (Mungu) anaishi kwenye Arsh yake (Throne) ambayo ipo juu ya maji na chini yake kuna Kursy, na chini ya kursy kuna mbingu saba na kwenye mbingu ya saba ndio tupo sisi.
umbali toka mbingu moja mpaka nyengine ni miaka 500 ila haikulezwa ni kwa scale gani,
ili kupata idea kidogo tuangalie ukubwa wa hii mbingu yetu kwa kuangalia ukubwa wa galaxy kwa kutumia science ya sasa.
kwa science ya sasa inachukua miaka 100,000 kutembea kwa spidi ya mwanga kuanzia mwanzo wa galaxy yetu mpaka mwisho. na kuna scientist walichunguza kisehemu kidogo tu cha anga na kukuta galaxies zaidi ya 10,000 wengine wanasema kuna zillion of gallaxies kwenye mbingu hii.
![]()
hivyo unaweza uka estimate mwenyewe hapo distance baina ya mbingu na mbingu mpaka unafika kwenye kursy na Arsh.
kwenye simulizi mbalimbali za kiisilamu mbigu saba compare na kursy ni kama udondoshe pete kwenye jangwa, na kursy compare na Arsh ni kama udondoshe tena pete kwenye Jangwa. hivyo Arsh ni kubwa sana, kupita hizo mbingu 7. Arsh ndio kiti cha Ufalme cha mwenyewe Mungu.
Angalia hii video kufahamu zaidi.
Anzia dakika ya 6 sekunde ya 55 ndio anaanza kuelezea umbali na Kiti cha Ufalme (Arsh)
Hujamuelewa mtoa mada anauliza kama mbingu haionekani au ipo kiroho kivipi Mnara wa babeli ulitaka kufika mbinguni yaani kama nimrod alitaka kufikia mbingu kwa jengo refu ila Mungu akazuia kwanini basi leo hii tuna marocket lakini hatufiki mbinguni??" Mbinguni ni mahali ambapo amepafanya mungu kua makazi yake amepachagua yeye ili kupaishi pamoja nakuwa umeandika kama msomi na mwandishi mzuri lakini umeshindwa kujua alipo mungu; Niwazi kwamba khabari za mungu umezigusagusa haujazisoma na kama umezisoma sio katika kitabu sahihi na usidhani tutakuelekeza alipo kwakuwa huwezi kwenda ukiwa hai kwanza ufe ...
" Kuusu vifaa kwenda angani sio hoja kabisa kwakua haviendi kwalengo la kumtafuta mungu ni ishu nyingine za kisayansi ambazo sio zote zinaaminika tatizo mambo mnayo yasoma katika vitabu vya watu mbalimbali wenye kuandika na kukana uwepo wa mungu vimekuharibu akili sana kwamaana hiyo una mashaka flani yasio na hoja za msingi ...
* Kuusu mungu kuzuia vitu hivyo hajashindwa kufikiri kwako ndiko kumeshindwa tatizo wenye kuvirusha wana mawazo kama ya kwako hivyo huachwa wateseke na ujinga ambao ni mzingo mkubwa kwao kumbuka pia khabari za mungu amezifunua kidogo sana kwetu sisi wanaadamu hata aishipo yeye huko ambako kunakutatiza wewe ni wajibu wako kujifunza kumuusu zaidi ..
" Kuusu Quran na biblia kuthibitisha kwamba mungu yupo juu ni kweli ila nasikitika hukuelewa makusudio ya aya ulizo zisoma kwa upana wake chakufanya jitahidi sana kusoma mana huna elimu inayohusu mambo ya imani naomba kuwasilisha ...
Toa. Jibu sasa nduguWacha kudumaza ubongo hakuna kitu kisicho wezekana ukiweka nia thabiti...