Mbinguni ni wapi?

Mbinguni ni wapi?

MAKOSHNELI na Tom McCarthy inaelekea hamfanyi reserch ya kutosha yet mnataka nikubaliane na mnayouataka.

MAKOSHNELI hujajibu swali langu ueleze kama unajua kuwa katika roho ni kufanyeje au kukoje? Hebu jibu basi, au wewe ni mchungaji aina ya akina Gwajima. Kujifanya maaskofu wakati hamjasomea theology.

Pia jibu controversal ya Ayubu na Yesu, Mungu hawezi julikana na Njia ya Uzima wa milele ya Yesu ?sasa unatakaje nisikie unjilisti wako Mfu?
nimeshakwambia we bado ni mchanga sana kiroho na kimaandiko unahitaji kujifunza zaidi kuliko kubishana kukusaidia tu hapo ulipoandika kuhusu uaskofu na kusomea theology,
uaskofu ni cheo au kazi za kimungu katika biblia kwahiyo hakuna mahali ndani ya biblia inamtaka mtu akasomee uchungaji,ushemasi,uaskofu ,unabii au uinjilisti 😀 😀 😀 😀 ni karama Mungu anakupa anakufundisha na anakusimamia hauhitaji the so called "THEOLOGY" kumjua Mungu na kazi zake bali unahitaji Roho mtakatifu wa kukuongoza na kukufundisha,
Angalia biblia inavyosema kuhusu Qualification za Askofu 1Timotheo 3:2-3 "Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha"
Wewe unasema tukasomee THEOLOGY!! hivi vitu vidogo huvijui ndio utalijua swala la Rohoni wewe! we endelea kusomea hayo mavitabu yako
 
nimeshakwambia we bado ni mchanga sana kiroho na kimaandiko unahitaji kujifunza zaidi kuliko kubishana kukusaidia tu hapo ulipoandika kuhusu uaskofu na kusomea theology,
uaskofu ni cheo au kazi za kimungu katika biblia kwahiyo hakuna mahali ndani ya biblia inamtaka mtu akasomee uchungaji,ushemasi,uaskofu ,unabii au uinjilisti 😀 😀 😀 😀 ni karama Mungu anakupa anakufundisha na anakusimamia hauhitaji the so called "THEOLOGY" kumjua Mungu na kazi zake bali unahitaji Roho mtakatifu wa kukuongoza na kukufundisha,
Angalia biblia inavyosema kuhusu Qualification za Askofu 1Timotheo 3:2-3 "Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha"
Wewe unasema tukasomee THEOLOGY!! hivi vitu vidogo huvijui ndio utalijua swala la Rohoni wewe! we endelea kusomea hayo mavitabu yako
Jibu swali acha kukwepa.
 
Salute comrades,

Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi?

Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi?

Ni kule juu angani kwenye mawingu? Qur'an inasema zipo Mbingu saba na Mungu anaishi Mbingu ya saba, je Mbingu hiyo iko sehemu gani?

Pia tunaambiwa Nimrod na wenzie walijenga mnara ulikua unakaribia kufika Mbinguni kwa Mungu, je huko Mbinguni ni kule juu angani?

Kama Mbinguni ni huko juu angani mbona sasa hivi kuna vifaa mbalimbali ambavyo vinapita huko angani kwenda sayari zingine?

Mbona Mungu hayazuii kama alivyowazuia kujenga mnara wa Babeli sababu wanapita huko angani inaposadikika ndio Mbinguni.


Da'Vinci
Dini ni Elimu ya mtu mweupe kumfundisha mtu mwingne kumtii yeye ili aweze kufanya shughuli zake bila kubughudhiwa.
 
Back
Top Bottom