Hata mfalme Suleiman aliwahi kujiuliza maswali Kama yako na tafasiri yake ipo hv
Ukisoma biblia ya kiingereza kwenye hiki kitabu hapa
1KINGS 8:26 "
“But will God indeed dwell on the earth? behold, the heaven and heaven of heavens cannot contain thee; how much less this house that I have builded?”
Kwa tafasiri Sasa hayo maneno niliyoyapigia mstari ndio panamsingi wa baadhi ya majibu,biblia imesema "Heaven"(mbingu ya kwanza,then "heaven"(mbingu ya pili) halafu "of heavens" hii haimaanishi mbingu ya tatu hiyo "s" mwishoni inaweza kuwa 3,4,5,6...... Nakuendelea kwahiyo Kama biblia inasema mbingu hazimtoshi inamaanisha haishi mbinguni!