Mbingu ni dhana ya kiroho Ila kwa mtazamo wa kibinadamu ni hili anga tunaloliona hapo juu.. Na kiuhalisia hiyo sio mbingu kwakuwa ukiwa angani unachoona ni upeo usio na mwishoSalute comrades,
Wakuu, naomba kufahamishwa, Mbinguni anapoishi Mungu ni wapi?
Ukisoma Biblia, Katekisimu etc zinasema Mungu yupo Mbinguni na mahali pote duniani. Je Mbinguni ni wapi?
Ni kule juu angani kwenye mawingu? Qur'an inasema zipo Mbingu saba na Mungu anaishi Mbingu ya saba, je Mbingu hiyo iko sehemu gani?
Pia tunaambiwa Nimrod na wenzie walijenga mnara ulikua unakaribia kufika Mbinguni kwa Mungu, je huko Mbinguni ni kule juu angani?
Kama Mbinguni ni huko juu angani mbona sasa hivi kuna vifaa mbalimbali ambavyo vinapita huko angani kwenda sayari zingine?
Mbona Mungu hayazuii kama alivyowazuia kujenga mnara wa Babeli sababu wanapita huko angani inaposadikika ndio Mbinguni.
Da'Vinci
Unataka kugundua nini juu ya hilo swali lako? Kaza hapahapa Tz ipo siku utajikuta huko mbinguniNaaam mkuu ngai moko
Masuala ya dini (kiimani) hayawezi kujibiwa na elimu dunia.Wacha kudumaza ubongo hakuna kitu kisicho wezekana ukiweka nia thabiti...
WaambieMwanadamu unaweza ukachunguza kila kitu lakini akili za Mungu hazichunguziki.
Kwani hiyo rangi ya blue ukiienda huko haipo mm sijui naionaga tumimi mwenyew na subiri majibu ya swali lako ...
maana tunasikia tu mbinguni mbinguni lakini hatujuibkuwa niwapi ..mbaya zaidi sehemu kubwa ya Jamii ambayo IPO mtaani inadhani kuwa mbingu nihuo mwanga wa jua wa blue tunaouona angani daily ...hata mimi zamani nilikiwa najua kuwa ile ndio mbingu na kwakuwa waislam wanasema kuwa mbingu ziko 7 nami nilikuwa nadhani kuwa baada ya ile Rangi ya blue tuionayo angani ambayo Jamii huwa inadhani kuwa ni mbingu basi juu yake patakuwa na mbingu nyingine 7
Sasa umejuaje kuwa hazichunguziki?Mwanadamu unaweza ukachunguza kila kitu lakini akili za Mungu hazichunguziki.
haipo mkuu ...ile nisehemu tu ya mwisho wa upeo wa macho yko pamoja na matokoa ya mwanga wa jua...nikama vile uonavyo maji kwa mbali ukiwa kwenye lamiKwani hiyo rangi ya blue ukiienda huko haipo mm sijui naionaga tu
Ni elimu ndefu kidogo ingia google..ila point yangu ni kwamba mengine hatuwezi kuyajua hata tujitahidi vip kwa sababu yapo beyond of our sense..utambuzi wa mwanadamu una ukomo.Mekanizmu ya ubongo ipoje?
Ni kweli mkuu ila ukipata muda tupatie hiyo elimu mkuu, hata ufungue uzi...Ni elimu ndefu kidogo ingia google..ila point yangu ni kwamba mengine hatuwezi kuyajua hata tujitahidi vip kwa sababu yapo beyond of our sense..utambuzi wa mwanadamu una ukomo.
Sawa sawaNi kweli mkuu ila ukipata muda tupatie hiyo elimu mkuu, hata ufungue uzi...