Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Hiloooooooooo...............
Embu tulia huko!
Hiloooooooooo...............
wewe ndo uje kwangu nimeshapata rum tena uje na boksa tu
huo unaitwa unafiki
duh yani nampa hongera marejesho mie mume kama wewe vituko ambavyo ningekufanyia ungekoma na mimi lione kwanza
tamaa tu
Karibu sana!Usisahau ile issue tuliyozungumza?
leo natongozwa kisukuma
mbona hujanikonyeza?
halafu mtindo wa kunipa makabila si yangu sijapenda
mie ni chotara mzaramo na mndereko umenipata??
Mama si unakumbuka nilivyokuwa naogopa mambo ya kuchanganyiwa maji ya kuoga na mdalasini,nikajua na wewe ni wa huko Tanga,kumbe ni chotara,nimekupenda zaidi kwa kuwa na mimi ni chotara kati ya msukuma wa Maswa na Msukuma wa Bariadi...
hayakuhusu subiri nikuitie Zinduna aje akusute
hah hah hah hah! Mnyantuzu na Mchwezi!