Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,784
- 41,015
Wala tuAnza kutembea na fire extinguisher
Wala tuAnza kutembea na fire extinguisher
Ninyi tulieni kwa kuwa tuliwazidi kete tukamuua bwana chato baada ya kupata msaada kutoka kwa kitengo cha haki cha Serikali ya Marekani.Ni mchaga mwenzako huyo!
Utachomewa huko huko ulikopangando maana sina plan ya kujenga
Aisee..!!Hiyo nayo ni nyumba au kibanda cha kuku
Kayafa ndio mwanzilishi wa huu upuuzikwenye hii dunia hakuna ujinga mkubwa zaidi ya ujinga wa ukabila,udini,ukanda na urangi.
Duhndo maana sina plan ya kujenga
Mmeandaa tiba gani mkuuMpaka tutaanza kunyooka.. Lkn tiba inakuja..
Ni mimi mkuuWw dada, ujue una jina kama la mpenzi wangu
Hata kama! Kwahiyo adhabu ndo uchome nyumba? Hiyo ni kesi!Yawezekana wote tukamshambulia huyo dada, lakini kwa upende mwingine wa shilling huwenda alikuwa na machungu na jasho lake kwa huyo mpz wake ambaye kaamua kuumwaga ili kimwana mwezake afaidi...hatujui wametoka naye wapi...na kachangia kiasi gani mafanikio ya jamaa.
Kupotezeana muda huwa ndiyo machungu makuu wanayopata wasichana wengi...unaishi na mpz miaka 5 hadi hata 8 afu unambwaga unatafuta kimwana mwingine unaoa..hii si haki kabisa, na mbaya zaidi sheria zetu hazitambui kipengele hiki cha kuporezeana muda.
Alichokosea huyu dada ambacho wengi wanamukukumu nacho ki kitendo cha kufanya kosa... kwa kweli hapa ndipo alipokosea..
Ila sasa jamii ijifunze kwamba kuna kina dada wengi sana wanaumia rohoni kwa mambo haya...miaka 5 hadi 10 mnahangaikia maisha hamjaoana...afu mambo safi jamaa anakumwaga anaoa kidosho kingime unaanza kula naye bata - hapana hii si haki sheria zetu zilimulike hili ili kuwe na fidia.
Wanaume kwa hili na sisi tunakosea...!!
Watuue tu maana hakuna namnaTunapeana tu taarifa si kwa ubaya!
Ni hivi mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la TINA (kabila tunalihifadhi) kaamua kuchoma nyumba anayoishi mpenzi wake!
Msisahau pendekezo la kuifanya kimara na mbezi kuwa kanda maalum ya mapenzi ya kibabe!
View attachment 1869232
Yaani hawa wamedhamiria kweli kutumaliza, maana licha ya uchache wetu pia kuna kina James delicious, Juma lokole na bado wanatuchoma moto!!Wanaume wenyewe tupo wachache bado mnataka kutumalizia
Daaaahhh...umenikumbusha mbali sana mdau!!.Hello, Brenda. I want to play a game. An officer will try to save you. If he is successful, then your game begins. This man will use these photos to sentence you for your crimes and the only way to stop him is taped underneath the TV. Let him save you and accept your fate to rot in prison, or kill him and guarantee your freedom. Make your choice.
Nenda kwa mafundi geti wakuchongee chupi ya chuma mkuu!! Hivi viumbe vimeazimia kufanya kweli kwasasa!!mi nahapewa onyo uku nikichepuka ntakatwa dushe
😂😂😂 Sio ww mana ww umezidi uzuri kuliko yeyeNi mimi mkuu