Mbezi Beach, Dar: Mwanamke achoma nyumba ya mpenziwe wa zamani

Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.

Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.

Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.

-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.


Fita ni Fita Muraaa TINA wa Kanda Maalum.
 
Huyu aangaliwe, anaweza adhamilie kujimaliza mwenyewe...
Bwana kakosa, revenge imesanuka...
Ni hopeless..
 
We nae... me habari za kuchomana myoto sizizimii sana, me adhabu ntayompa ni kumpa mechi ya hasira na ya kupania yenye maandalizi kama ya fungate kiasi kwamba anabaki njia panda hajielewi.....yeye mwenyewe kila akitaka kunisahau ananipigia tu...
Haya Ndio Mambo Sasa Bibie
 
Nashauri somo la matumizi ya fire extinguisher lianze mara moja kwa watoto wa kiume kuanzia miaka saba.

Wanaume tutakwisha kwa style hii, wamama wamecharuka.
 
Kwasasa wanaume tupo hatarini,kumuacha mtu ni kosa la kuhatarisha maisha na mali.
 
Back
Top Bottom