Mwanamke wa kikurya amechoma nyumba ya aliyekuwa mwanaume wake mkazi wa mbezi Beach kwa komba kwa sababu ya wivu wa kimapenzi.
Tukio hili lilitekelezwa wakati mwanaume huyo alipokuwa ameenda kazini. Wananchi alofanikiwa kumkamata mtuhumiwa na hivi ninavyoandika mtuhumiwa huyu amefikishwa polisi.
Jamani mkiachwa achikeni, mkitemwa kubalini kutemeka.
-----
Msichana aliyejulikana kwa jina la Tina mkazi wa eneo la Mbezi Beach, Jijini Dar es Salaam amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kuchoma nyumba ya anayedaiwa kuwa alikuwa mpenzi wake aitwaye kwa jina moja la Kelvin mkazi wa Mbezi Bondeni.
Haya Ndio Mambo Sasa BibieWe nae... me habari za kuchomana myoto sizizimii sana, me adhabu ntayompa ni kumpa mechi ya hasira na ya kupania yenye maandalizi kama ya fungate kiasi kwamba anabaki njia panda hajielewi.....yeye mwenyewe kila akitaka kunisahau ananipigia tu...
Anza kutembea na fire extinguisherMa Ex zangu mnisamehe kwa kutokuwaoa
Wanawake wameamua .Sijajua ndio 50/50 waliokuwa wanaitaka.Wanaume kwa sasa wanapitia kipindi kigumu sana.
Mpaka tutaanza kunyooka.. Lkn tiba inakuja..Imekuwa fasheni au ujinga tuu
Huyu aangaliwe, anaweza adhamilie kujimaliza mwenyewe...
Bwana kakosa, revenge imesanuka...
Ni hopeless..
"Mambo hayo unafanya usiku siyo saa hizi, eee kila mtu anakuona"
Hiyo nayo ni nyumba au kibanda cha kukuTunapeana tu taarifa si kwa ubaya!
Ni hivi mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la TINA (kabila tunalihifadhi) kaamua kuchoma nyumba anayoishi mpenzi wake!
Msisahau pendekezo la kuifanya kimara na mbezi kuwa kanda maalum ya mapenzi ya kibabe!
View attachment 1869232
Ni Mchaga mkuuNa yeye Mchaga..?
Akisha lala binadamu hata kama ni kiota hiyo ni nyumba, akishazikwa binadamu hata kama shimo tu lisilo na mpangilio hilo ni kaburi.Hiyo nayo ni nyumba au kibanda cha kuku
Ni kuamka au upumbavu ? Eti wameamka ! Hauko seriousWakurya nao wameamka siku hizi. nilijua wachagga tu.