ILISACHA
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 1,977
- 3,524
Ni ajabu kwa karne hii bado kuna watu wanaamini kupitia kwa waganga wa kienyeji wanaweza kutatua shida/matatizo yanayowakabili. Sikia hii.
Nestory John (52) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya mpenzi wake, Eva Stephano na kusababisha vifo vya watu watatu Desemba 07 mwaka huu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Kamanda wa Polisi moani humo, Wilbroad Mutafungwa ameeleza kuwa baada ya mtuhumiwa
kutekeleza tukio hilo, alikimbilia kwa mganga wa kienyeji kuanguliwa ili asiweze kukamatwa na
polisi.
12:17
Ombi:
Wanawake acheni kuchanganya wanaume, wanaume pia kabla hujafanya jambo fikiri mara 2
faida ya ukifanyacho au mwisho wake itakuweje?
Nestory John (52) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mwanza kwa tuhuma za kuchoma moto nyumba ya mpenzi wake, Eva Stephano na kusababisha vifo vya watu watatu Desemba 07 mwaka huu kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa mapenzi.
Kamanda wa Polisi moani humo, Wilbroad Mutafungwa ameeleza kuwa baada ya mtuhumiwa
kutekeleza tukio hilo, alikimbilia kwa mganga wa kienyeji kuanguliwa ili asiweze kukamatwa na
polisi.
12:17
Ombi:
Wanawake acheni kuchanganya wanaume, wanaume pia kabla hujafanya jambo fikiri mara 2
faida ya ukifanyacho au mwisho wake itakuweje?