Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

Nasikia polisi wamenyosha mikono mbele ya machinga wa Mbeya.
 
JK anajidanganya kudhani polisi wataweza kuzuia mabadiliko yaliyoanza kutafutwa na raia wa nchi hii, huo ni mwanzo tu, walisema wakizuia mandamano watanyamazisha sauti ya umma, badala yake wanachochea ili watu waandamane zaidi. Na kwa sasa bado kitambo tu nchi nzima itaandamana na tutaona kama hao polisi watawalinda hao mafisadi na mashetani wakubwa.
 
Wamekata Umeme... Hali ni tete... Police wanazidi kuvurumisha Mabomu ya Machozi na risasi za moto...
 
Nasikia polisi wamenyosha mikono mbele ya machinga wa Mbeya.

kwa picha za video nilizoziona kwenye chombo kimoja cha habari, ile vita si ndogo na polisi hawatashinda kwa kutumia magari kwa sababu barabara inawaka moto.

watapita wapi na magari yao ya deraya? wajaribu waone kama hayajageuka(magari ya polisi) mabomu!

lazima waendeshe vita vya ardhini, siyo kwenye magari.
 
wananchi+wakisubiri+mkutano+wa+kupatanishwa.JPG



Wananchi wakisubiri mkutano na mkuu wa mko baada ya serikali kusalimu amri
















 
Yote hayo kwa sababu ya mtu mmoja tu Kandoro kujitia amekuja na mbinu mpya ya kusafisha jiji! [/QU
Nimesoma michango mingi sana katika hii nyuzi, inavyoonekana wengi wetu tupo kisiasa zaidi! sawa inawezekana ni mzizi wa kila kitu sikatai, lakini KANDORO kusafisha jiji ni sahihi ila nafikiri mbinu aliyoitumia si sahihi. Kuna mmoja humu kaongelea ushawishi wa kukaa na wahusika na kuwaonyesha madhara na faida wa kusudio. Nafikiri hii mbinu KANDORO hakuitumia. Pili alitakiwa ajue anapowatoa wanachinga anawapelea wapi na ni kwavipi hilo eneo jipya atakalowapeleka wanunuzi watavutiwaje kupafikia.
Labda niongelee kwamba Watanzania hatuna tabia ya Usafi na utaratibu, si sahihi wafanyabiashara kufanya biashara zao kila sehemu, kwanza inasababisha uchafu. Kwa ambao mmebahatika kutembelea nchi za wenzetu mtakubaliana na mimi.Mimi nasema wazo si baya katu ila mbinu iliyotumika ndiyo haikufaa. Kandoro amesahau tabia yametokana na mazoea ya siku nyingi yanahitaji busara kumuelimisha mtu afahamu
 
Nimesoma michango mingi sana katika hii nyuzi, inavyoonekana wengi wetu tupo kisiasa zaidi! sawa inawezekana ni mzizi wa kila kitu sikatai, lakini KANDORO kusafisha jiji ni sahihi ila nafikiri mbinu aliyoitumia si sahihi. Kuna mmoja humu kaongelea ushawishi wa kukaa na wahusika na kuwaonyesha madhara na faida wa kusudio. Nafikiri hii mbinu KANDORO hakuitumia. Pili alitakiwa ajue anapowatoa wanachinga anawapelea wapi na ni kwavipi hilo eneo jipya atakalowapeleka wanunuzi watavutiwaje kupafikia.
Labda niongelee kwamba Watanzania hatuna tabia ya Usafi na utaratibu, si sahihi wafanyabiashara kufanya biashara zao kila sehemu, kwanza inasababisha uchafu. Kwa ambao mmebahatika kutembelea nchi za wenzetu mtakubaliana na mimi.Mimi nasema wazo si baya katu ila mbinu iliyotumika ndiyo haikufaa. Kandoro amesahau tabia yametokana na mazoea ya siku nyingi yanahitaji busara kumuelimisha mtu afahamu

ni kweli watanzania hatuna tabia ya usafi na utaratibu na mfano halisi ni kikwete na serikali yake; wala si wananchi wa Mbeya.
 
Nimesoma michango mingi sana katika hii nyuzi, inavyoonekana wengi wetu tupo kisiasa zaidi! sawa inawezekana ni mzizi wa kila kitu sikatai, lakini KANDORO kusafisha jiji ni sahihi ila nafikiri mbinu aliyoitumia si sahihi. Kuna mmoja humu kaongelea ushawishi wa kukaa na wahusika na kuwaonyesha madhara na faida wa kusudio. Nafikiri hii mbinu KANDORO hakuitumia. Pili alitakiwa ajue anapowatoa wanachinga anawapelea wapi na ni kwavipi hilo eneo jipya atakalowapeleka wanunuzi watavutiwaje kupafikia.
Labda niongelee kwamba Watanzania hatuna tabia ya Usafi na utaratibu, si sahihi wafanyabiashara kufanya biashara zao kila sehemu, kwanza inasababisha uchafu. Kwa ambao mmebahatika kutembelea nchi za wenzetu mtakubaliana na mimi.Mimi nasema wazo si baya katu ila mbinu iliyotumika ndiyo haikufaa. Kandoro amesahau tabia yametokana na mazoea ya siku nyingi yanahitaji busara kumuelimisha mtu afahamu

chanzo chake siyo usafi kama wengi wanavyoongea hapa ukweli ni kuwa wamachinga walitakiwa waondoke eneo hilo bila kutafutiwa eneo jingine. kwa maelezo zaidi soma hapa

http://kalulunga.blogspot.com/2011/11/vurugu-mbeya-hatari-tupu.html
 
wamachinga wamegoma kulala sasa wamefanikiwa kuwadhibiti polisi na hatimaye wapo mwanjelwa na wanasema wanaelekea mjini mpaka ofisi ya mkuu wa mkoa. wasiwasi upo sehemu ya sheli ambapo zipo benki na ulinzi ni mkali kuhofia wamachinga kuchoma kituo cha mafuta na benki
 
wamachinga wamegoma kulala sasa wamefanikiwa kuwadhibiti polisi na hatimaye wapo mwanjelwa na wanasema wanaelekea mjini mpaka ofisi ya mkuu wa mkoa. wasiwasi upo sehemu ya sheli ambapo zipo benki na ulinzi ni mkali kuhofia wamachinga kuchoma kituo cha mafuta na benki

Mi naona wamachinga hawana haja na benki wala sheli kwani wamepita sheli ngapi na benki ngapi? soweto si kuna benki ya NMB pale kisangani investment?
 
Hivi kumbe wamachinga wako wengi hivi? Hii inaashiria kwamba unemployment rate ni balaa!!! Hamna namna nyingine yakuepuka haya mambo zaidi yakuimarisha uchumi ili watu wapate ajira/wajiajiri. Otherwise percent kubwa ya watu inapoona inateseka na small percentage wanakula raha lazima vurumai zitokee. Na mara nyingi pakiwa na matabaka, watu wa matabaka ya juu huwa wanawaona watu wa chini wanyama fulani hivi hivyo kuwapa order yeyote wanayotaka e.g. Kandoro & co
 
Hawa wakoloni wetu ni watu wa ajabu sana, hawatumii hekima hata kidogo. Wanadhani wanaweza kuendesha nchi ktk zama hizi kama ilivyokuwa enzi za ukomunisti. Zama hizo zimepita, lakini wao bado wanazo tu.
Sasa serikali kwanini isikae na kuzungumza na hao wamachinga kabla hata ya kuanza kwa vurugu badala ya kuanza kuwahamisha kwa nguvu?
 
Mikoa minne Tanzania; Dar, Mwanza, Arusha na Mbeya, ina historia ya vurugu, polisi kutumia mabomu dhidi ya wananchi na hata polisi kuua raia pia.

Ajabu ni kwamba Abassi Kandoro amewahi kuwa Mkuu wa Mkoa katika mikoa yote hiyo minne kwa nyakati tofauti.

Dar walisema heri huyu jamaa kaondoka hapa, maana anaweka sana chokochoko nyingi za kichinichini. Mwanza aliacha mambo siyo mazuri. Nadhani huko Mbeya utambi umelowa mafuta sasa, na Kandoro ni kibiriti.
 
Duh!!!
Hawa jamaa wa mbeya nimewakubali...........hakuna vita ya amani inayoweza kufanikiwa dhidi ya mafedhuli.......ngumi ngumi tu mpaka kieleweke.
 
Nina familia Block T, Mbeya wanadai muda huu saa nne kasorobo usiku bado wanasikia mabomu maeneo ya Soweto karibu na kituo cha mafuta OilCom. Ninadhani polisi wanatumia nguvu mno, tena bahati mbaya kwa watu ambao serikali imewakatisha tamaa ya maisha. Binafsi naamini serikali ilikuwa ina wazo zuri la kuwahamisha machinga, ila tatizo hawakuwa na mkakati mzuri wa kuwaelimisha watu hawa na pia kuwaonesha eneo mbadala. Mambo kama haya ndio yameleta nondo huko Mbeya. Maana nondo si jambo la uchawi, ila kuchoka kimaisha kwa baadhi ya watu ambao huishia kupunguza hasira kwa kufanya uhalifu.
Kuna taarifa pia kuwa polisi wamenyang'anya pesa kwa baadhi ya wafanyabiashara wakati tukio likianza, na pia wameingia katika baadhi ya maduka ya jumla na kuchukua maji na hizi juice za Azam Malta.
 
bado polisi wanaendela kupambana na machinga usiku huu. kazi ipo
 
HUYU MSHKAJI ANATUMIA BIDHAA YAKE KAMA SILAHA!!
MUUZA MANATI AKIPAMBANA!!!
DSC00466.JPG
 
Back
Top Bottom