Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

Mbeya yachafuka polisi wapambana na wamachinga

nimeongea narafiki yangu muda si mrefu hali bado tete wanyakyusa wamekomaa milio ya risasi na mabomu bado yanalindima. polisi na JWTZ wapo barabarani tuombe mungu. wananchi wantaka kandoro aondolewe ndani ya masaa 24 otherwise mbeya haitakalika
Mbeya bado kimewaka wazeee Uyole hapakaliki!
 
Du hii sasa imeshakuwa Bengazi lakini acha polisi watupe mazoezi ili siku ya siku tukilianzisha tusirudi nyuma,
Nauhakika zoezi hili Arusha tayari, Mwanza tayari, Mbeya ndio wanaendelea kukomaa, sina tatizo na Moshi
hata Dar napaaminia ingawa watu wanawasiwasi napo.


hapa ndo mwanjeeeeeelwaaaaaaaaaaaa.........
 
majimbo ya liyochukuliwa na chadema yanajua kusiamia haki zao za msingi na sikila kitu kifanyike bila kuwashirikisha wananchi, safi sana vijana wa mbeya, vijana wa arusha na bado kesho mwanza popice mmeikimbia chadema kwenye meza ya majadiliano mtarudi mtake msitake na mkirudi hatuwakubalii tena, nchii haita tawalika tena na tena
 
Mbeya bado kimewaka wazeee Uyole hapakaliki!

Yaani siku nzima polisi bado wanahangaika tu duh kweli mbeya walijiandaa maana itabidi serikali iombe shehena ya mabomu ya machozi nchi jirani
 
Hivi ni kipindi gani risasi za moto zatumika kutawanya watu. nadhani ni uvunjifu wa haki za binadamu. Au polisi wetu viraza hawajasoma hata kidodgo?.Nchi hii inaenda siko siko siko.
 
Hivi ni kipindi gani risasi za moto zatumika kutawanya watu. nadhani ni uvunjifu wa haki za binadamu. Au polisi wetu viraza hawajasoma hata kidodgo?.Nchi hii inaenda siko siko siko.

walidhani watapata mteremko mbeya kazi wanayo
 
What a way to end the year...poleni wana Mbeya...how sad....injustice and abuse of power
 
sugu.jpg
that green city bana sio bongo
 
Msaada wanabodi, mbona mi kwangu picha hazifunguki?
 
Mpaka mda huu bado kwalindima police wanaendelea kupiga mabomu ya machozi na risasi za moto.
 
jeshi linapokea amri kutoka kwa amiri jeshi mkuu, rais wa jamhuri ya muungano. hii ni dalili sasa jk ameamua kutumia jeshi la wananchi ili kuwaangamiza wananchi wenyewe. huu wote ni ubutu wa kutumia akili unaofanywa na ccm. Kwao wao sasa wananchi si lolote bali wao wanajivunia kuwa na dola. Huwezi kushawishi wananchi wawe watii kwa kutumia dola bali ni haki. Ule wakati wa kutawala watanzania kama vile zizi la ng'ombe umeisha, sasa hivi inahitajita akili zaidi kuliko maguvu.

yailah toba.....hapa mkulu anajiingiza kwenye calvati!!! Na akichomoka kwa okampo! Hivi huyu jamaa uwezo wake darasani ulikuwaje? Kwa nini hajifunzi manchi yoooteee hayo?
 
Wana JF nilikuwa naelekea Mbeya lakini hali bado ni tete risasi, mabomu yanarindima, ngoma bado nzito njia ya uyole haipitiki magari binafsi yanarudi Chimala
 
Wana Jf niko mlima nyoka natokea mbeya kuja dar jioni hii nimepishana na defender kama tano za FFU Zinaelekea mbeya naona wameomba msaada toka Iringa.
 
Back
Top Bottom