Memo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 2,157
- 760
hII NI HATARI SANA........NI NANI ALIYE NA BUSARA KATI YA HAWA WAKOLONI WEUSI WANAOJIFANYA KUTUONGOZA?bado polisi wanaendela kupambana na machinga usiku huu. kazi ipo
hII NI HATARI SANA........NI NANI ALIYE NA BUSARA KATI YA HAWA WAKOLONI WEUSI WANAOJIFANYA KUTUONGOZA?bado polisi wanaendela kupambana na machinga usiku huu. kazi ipo
Mi naona polisi wako kwenye mazoezi. Ili wakati ukifika wa kuambiwa tuwe mashoga kwa nguvu. Wawe na uzoefu.
Naongea nini! We subiri tu, subiri serikali ikisema "jamaniee! Si mnaona tunanywimwa misaada. Basi wananchi kuweni mashoga" Tukigoma tu, jamaa wanaingia mtaani na mabunduki yao...JAMANI WATU WETU WA MBEYA MSILALE LEO, ENDELEENI KUTUJUZA.Hivi unaongea nini hapa ?
Nimesoma michango mingi sana katika hii nyuzi, inavyoonekana wengi wetu tupo kisiasa zaidi! sawa inawezekana ni mzizi wa kila kitu sikatai, lakini KANDORO kusafisha jiji ni sahihi ila nafikiri mbinu aliyoitumia si sahihi. Kuna mmoja humu kaongelea ushawishi wa kukaa na wahusika na kuwaonyesha madhara na faida wa kusudio. Nafikiri hii mbinu KANDORO hakuitumia. Pili alitakiwa ajue anapowatoa wanachinga anawapelea wapi na ni kwavipi hilo eneo jipya atakalowapeleka wanunuzi watavutiwaje kupafikia.
Labda niongelee kwamba Watanzania hatuna tabia ya Usafi na utaratibu, si sahihi wafanyabiashara kufanya biashara zao kila sehemu, kwanza inasababisha uchafu. Kwa ambao mmebahatika kutembelea nchi za wenzetu mtakubaliana na mimi.Mimi nasema wazo si baya katu ila mbinu iliyotumika ndiyo haikufaa. Kandoro amesahau tabia yametokana na mazoea ya siku nyingi yanahitaji busara kumuelimisha mtu afahamu
Mkuu watu wengi wanashusha lawama kwa serikali zetu kwa sababu moja tu! Nchi hii hatuna utaratibu wa MIPANGO MIJI, majiji ni ya kisiasa so ni lazima watu wajadili kisiasa.
Katika ulimwengu wa sasa miji inabuniwa na mamlaka husika afu wananchi wanakaribishwa kuwa sehemu ya utekelezaji,
umuhimu wa mamlaka kuandaa miji ni kwamba miundombinu yote muhimu itapelekwa kabla ya watu kwenda,
pia watu ni lazima watafuata eneo ambalo linamahitaji yote muhimu, hebu tukumbushane ni sehemu gani hapa kwetu mamlaka imewahi kubuni mji afu watu wakakataa? Jikumbushe kisa cha kitongoji cha sinza dar na mradi wa UCLASS uliofilisiwa kisiasa, leo hii sinza haifai kila kitu shagharabagara!
Umejaribu kujenga hoja kwa mbali ionekane kwamba watz ni watu wa hovyo na wachafu hii hata kama ni kweli ila bado mtz atakuwa wa mwisho kulaumiwa, ni sawa na kisa cha baba na mwana.
Maana yangu ni kwamba watz ni watu wa hovyo sababu tumejengwa kuwa watu wa hovyo na mamlaka zetu!
Wananchi wa hovyo wanaanzisha miji yao ya hovyo afu inakuja mamlaka iliyoshindwa hata kuanzisha hlo jukumu lake na kuanza kuwapangia utaratibu.... Achilia mbali kuchoma masoko ya umma. Hii haiwezekani,
HATUWEZI KUENDELEA NAMNA HII.
Post of the year!!!Ukiangalia matendo yanayoanywa na viongozi wa CCM kwa kuwaamrisha polisi kufanya vurugu hizi, ni dhahiri mchoraji wa katuni hii atakuwa ana mantiki juu ya watu wa aina gani wanaotuongoza kwa sasa.
![]()
Mdogo mdooooooooooooogo kama Libya, mana hizo hekaheka kwenye picha nkama wapo katika viunga vya Bengazi. Wananchi piganieni haki zenu kwa nguvu zote kwani hii Serikali inajifanye hamnazo.arusha
mbeya
mwanza
tarime
...................nchi na iamke usingizini.
mkuu wewe huna hata manati??Mbeya mabomu yanasikika hadi sasa hali ni tete jamaa wanaua wananchi wenzetu ingawa wanasema neno la Mungu linasema hakuna dola isiyo halali lakini nafikiri hii dola ni ya kishetani wala haijawekwa na mamlaka ya Mungu,Mungu ameishailaani
Chadema wakichukuwa nchi machinga wataruhusiwa kila mtaa..
Chadema wakichukuwa nchi machinga wataruhusiwa kila mtaa..
Chadema wakichukuwa nchi machinga wataruhusiwa kila mtaa..
Akili yako ukichanganya na ya Mbayuwayu bado hamuwezi kutambua hili!!!!Mkuu watu wengi wanashusha lawama kwa serikali zetu kwa sababu moja tu! Nchi hii hatuna utaratibu wa MIPANGO MIJI, majiji ni ya kisiasa so ni lazima watu wajadili kisiasa.
Katika ulimwengu wa sasa miji inabuniwa na mamlaka husika afu wananchi wanakaribishwa kuwa sehemu ya utekelezaji,
umuhimu wa mamlaka kuandaa miji ni kwamba miundombinu yote muhimu itapelekwa kabla ya watu kwenda,
pia watu ni lazima watafuata eneo ambalo linamahitaji yote muhimu, hebu tukumbushane ni sehemu gani hapa kwetu mamlaka imewahi kubuni mji afu watu wakakataa? Jikumbushe kisa cha kitongoji cha sinza dar na mradi wa UCLASS uliofilisiwa kisiasa, leo hii sinza haifai kila kitu shagharabagara!
Umejaribu kujenga hoja kwa mbali ionekane kwamba watz ni watu wa hovyo na wachafu hii hata kama ni kweli ila bado mtz atakuwa wa mwisho kulaumiwa, ni sawa na kisa cha baba na mwana.
Maana yangu ni kwamba watz ni watu wa hovyo sababu tumejengwa kuwa watu wa hovyo na mamlaka zetu!
Wananchi wa hovyo wanaanzisha miji yao ya hovyo afu inakuja mamlaka iliyoshindwa hata kuanzisha hlo jukumu lake na kuanza kuwapangia utaratibu.... Achilia mbali kuchoma masoko ya umma. Hii haiwezekani,
HATUWEZI KUENDELEA NAMNA HII.