palalisote
JF-Expert Member
- Aug 4, 2010
- 8,335
- 1,463
Duh ukiona polisi pamoja na wale wa magereza mambo yamewashinda uje ukombozi upo mbioni. achana kabisa na wanyakyusa wakiamua kitu huwa hawarudi nyuma. kuleta jeshi hakuta tuliza ghasia.
Huo ni mwanzo tuu ni manyunyu mvua yenyewe bado,wacheni kuchokoza watu wakizinduka sijui mtafanya je? Watu watakapo jifunza kutengeneza mabomu ya kurusha hapo nchi haitakalika!Amani tanzania hakuna tena! Kila kona ni vurugu tupu!
Huo ni mwanzo tuu ni manyunyu mvua yenyewe bado,wacheni kuchokoza watu wakizinduka sijui mtafanya je? Watu watakapo jifunza kutengeneza mabomu ya kurusha hapo nchi haitakalika!
Nimewaambia hii serikali inachokoza watu ikidhani ni wajinga, ni huo ni mwanzo kazi yenyewe bado maana watajipanga kikazi zaidi itakuwa hatari tupu!habari nilizozipata hv punde kutoka kwa mfanyakazi mwenzangu huko mbeya ni kuwa fujo ni nyingi kiasi cha kwamba imebidi jeshi liitwe kuongeza nguvu kwani jamaa walijiandaa toka jana wakijua lazima FFU wangekuja kwa hio mziki wa Mbeya ni mzito sana.
Walikwenda ffu wapi magereza wakajaribu coz walikuwa karibu wapi kandoro kaomba msaada toka jeshini fujo zimeanza saa1 asubuhi mpaka sasa ndo zinazidi kusambaa maeneo mengine nackia huko jamani hali ni mbaya sana wazee wa kupiga nondo wako ngagari
"Masaburi" kabisa wewe. Hivi hao watu wawili ndio wangekuwa wazazi wako ungesema hivi? Nyambaf!
Watu wamechoka unyanyasaji wanalotafuta watalipata ngoja uone sasa!Yote hayo kwa sababu ya mtu mmoja tu Kandoro kujitia amekuja na mbinu mpya ya kusafisha jiji!
Noambeni rasmi mtu anayefahamiana na JK amuombe anipe majukumu ya kuwa mshauri wake wa kisiasa! Ninaamini nina hekima kuliko waliopo kwa kweli.
Unless......
We kweli uko out of touch! Mwarabu wa wapi weye? Yani wewe ulichoona hapo ni usafi wa mji?
Halafu una roho mbaya kweli kweli,inaonyesha umetekenywa mahali yake..Wewe unasema wananchi wapigwe risasi mods hawana shida na wewe.
Sasa subiri mimi niseme na wananchi wawapige nyie na polisi risasi uone kama hawajaifutilia posti mbali.Ndo double standrads hizi.
Ama kweli kuishi kwingi...
Yote hayo kwa sababu ya mtu mmoja tu Kandoro kujitia amekuja na mbinu mpya ya kusafisha jiji! [/QU
habari nilizozipata hv punde kutoka kwa mfanyakazi mwenzangu huko mbeya ni kuwa fujo ni nyingi kiasi cha kwamba imebidi jeshi liitwe kuongeza nguvu kwani jamaa walijiandaa toka jana wakijua lazima ffu wangekuja kwa hio mziki wa mbeya ni mzito sana walikwenda ffu wapi magereza wakajaribu coz walikuwa karibu wapi kandoro kaomba msaada toka jeshini fujo zimeanza saa1 asubuhi mpaka sasa ndo zinazidi kusambaa maeneo mengine nackia huko jamani hali ni mbaya sana wazee wa kupiga nondo wako ngagari