Kuna mtu nilimuuliza akaniambia zinapatikana eneo linaitwa Sido.ukifika kabwe uliza Sido utaelekezwa.nahitaji nguo za kike nzuri za mtumba grade A naomba mnisaidie mlioko mbeya napataje na soko gani
Kwa Tito machu...chu...nahitaji nguo za kike nzuri za mtumba grade A naomba mnisaidie mlioko mbeya napataje na soko gani
Unataka umletee ukienda Canada, atashukuru!!!Unataka kuvaa mwenyewe???
Kuna mtu namjua yupo Mbeya, Mwanjelwa anauza ndio maana nimeuliza.Unataka umletee ukienda Canada, atashukuru!!!
Kwa Dar vip, msaada tutani basi...Kuna mtu namjua yupo Mbeya, Mwanjelwa anauza ndio maana nimeuliza.
ya kuuzaUnataka kuvaa mwenyewe???
Ndugu habari.. !!nahitaji nguo za kike nzuri za mtumba grade A naomba mnisaidie mlioko mbeya napataje na soko gani