Mbeya: Utitiri wa redio ni kero nyingine

Hivyo ni vipindi vya clients mkuu kama ilivyo kwa vipindi vya VOA pale Bomba fm au vipindi vya Sanitarium Clinics ambazo zina vipindi vinavyokuwa pre recorded au live lakini client anasisitiza ubora,vipo vipindi kama vya shamba darasa chini ya Farm Radio International vinarushwa kwenye baadhi ya stations hapo lakini under strict supervision ya client,hivyo huwa okay tofauti na vipindi ambavyo vipo kwenye schedule rundown ya vituo.

Mkuu nimekutolea mfano halisi nsona sasa unakwepa kiaina.
Kweli redio za FM ni changa Mbeya lakini nime kuwekea radio moja tu , Mbeya Highlands FM iliyoshinda tuzo ya ufadhili kwa kiwago cha kuwa ya kwanza nchini.
Ufadhili huo wa Tanzania Media Fund(TMF) ulikuwa kwa kiwango cha kuipaisha radio hii na kuwa ya kwanza NCHI NZIMA kwa mwaka 2014/2015.

Nimekusisituzia kuwa kile radio hii ilichofanya kwa kujumuisha wananchi kuona matatizo ya sekta ya Maji mkoani Mbeya ndo kilipelekea waziri mdogo wa Maji kwenda Mbeys kujionea mwenyewe matstizo ya Maji.

Jata Kamati ya Bunge ya Maji ilitembelea Mkoa huo baada ys habari za Maji kujitikeza toka kwa wananchi.

Sasa kugutuka huko kwa serikali which is a positive move, we ulitaka badala yske iwe vipi.

Umekazanis semantics, na huo mfano mmoja ndo unakuumbua.
 
Mkuu nimekutolea mfano halisi nsona sasa unakwepa kiaina.
Kweli redio za FM ni changa Mbeya lakini nime kuwekea radio moja tu , Mbeya Highlands FM iliyoshinda tuzo ya ufadhili kwa kiwago cha kuwa ya kwanza nchini.
Ufadhili huo wa Tanzania Media Fund(TMF) ulikuwa kwa kiwango cha kuipaisha radio hii na kuwa ya kwanza NCHI NZIMA kwa mwaka 2014/2015.

Nimekusisituzia kuwa kile radio hii ilichofanya kwa kujumuisha wananchi kuona matatizo ya sekta ya Maji mkoani Mbeya ndo kilipelekea waziri mdogo wa Maji kwenda Mbeys kujionea mwenyewe matstizo ya Maji.

Jata Kamati ya Bunge ya Maji ilitembelea Mkoa huo baada ys habari za Maji kujitikeza toka kwa wananchi.

Sasa kugutuka huko kwa serikali which is a positive move, we ulitaka badala yske iwe vipi.

Umekazanis semantics, na huo mfano mmoja ndo unakuumbua.

Ukizungumzia sampling ya redio ili kupatiwa programs ambazo zinaiathiri jamii kwa ujumla wake kwa Mbeya hakuna inayoipiku Bomba Fm that's why Voice Of America waliichagua hiyo out of all radios Mbeya ili ku-hook program Yao nifanyeje,lakini pia Bomba fm imekuwa na programs nyingi zaidi na prime za wateja kuliko redio nyingine,...Hizo funds za TMF zimekuwa zikitolewa yearly kwa media au individual journalist ambao hupewa fursa ya kuibua masuala ya jamii isiyofikiwa hususani vijijini,Programs kama za Farm Radio International zimepewa Baraka Fm...Let's be frank na tukubali kwamba radio nyingi hapo hazifanyi vizuri,hata hiyo Highlands imekuwa ktk mkumbo wa kutowajali wafanyakazi wake ktk eneo la maslahi na stahiki nyingine za kazi mifano ipo,,,kwanni ukweli usisemwe,tujifunze kuwa honest...halafu hiyo Highlands hata audience yake jijini ni ndogo sana achilia mbali coverage.
 
Nasema ni kero kwa sababu hizo Fm Radios Mbeya zina watangazaji wasiozingatia weledi na hawana ubunifu,watangazaji wanabanyanga sana kiswahili sijui ndo wamiliki kushindwa kuwalipa?

Kwa ufupi redio za Mbeya hazina mvuto kiasi kwamba wananchi wengi wanapendelea kusikiliza radio za nje kv ebony fm na za Dar.

Redio za Mbeya zenye nafuu ni kama tatu tu nje ya karibia redio 13, nazo ni Ufm, Bomba fm na Mbeya fm.

Orodha ya redio Mbeya:
1 . Mbeya Fm
2. Ushindi Fm
3. Ilasi Fm
4. Highlands Fm
5. Kyela Fm
6. Sweet Fm
7. Generation Fm
8. Baraka Fm
9. Chai Fm
10. Bomba Fm
11. Kuna moja ipo Uyole mpya
12. Mpanji Fm
13. Orodha ingali inaendelea...

Hebu kuweni wabunifu ajirini vijana wenye weledi na sifa za utangazaji...mnachosha na hamsikiliziki na watu makini.

Nimefanya huu utafiti kitambo sasa.

By n'yadikwa
Ukizungumzia sampling ya redio ili kupatiwa programs ambazo zinaiathiri jamii kwa ujumla wake kwa Mbeya hakuna inayoipiku Bomba Fm that's why Voice Of America waliichagua hiyo out of all radios Mbeya ili ku-hook program Yao nifanyeje,lakini pia Bomba fm imekuwa na programs nyingi zaidi na prime za wateja kuliko redio nyingine,...Hizo funds za TMF zimekuwa zikitolewa yearly kwa media au individual journalist ambao hupewa fursa ya kuibua masuala ya jamii isiyofikiwa hususani vijijini,Programs kama za Farm Radio International zimepewa Baraka Fm...Let's be frank na tukubali kwamba radio nyingi hapo hazifanyi vizuri,hata hiyo Highlands imekuwa ktk mkumbo wa kutowajali wafanyakazi wake ktk eneo la maslahi na stahiki nyingine za kazi mifano ipo,,,kwanni ukweli usisemwe,tujifunze kuwa honest...halafu hiyo Highlands hata audience yake jijini ni ndogo sana achilia mbali coverage.

kweli Mbeya inaongoza kwa umbeya, na wewe mtoa uxi huna tofauti.

Umepewa ukweli kwa yale uliyoposti sasa unajibadilisia magoli.
Asante Jidu La Mabambasi kwa kumuumbua huyu jamaa wa Bomba Fm.
Mkuu jaribu siku nyingine , leo umejulikana.
 
Last edited by a moderator:
Nasema ni kero kwa sababu hizo Fm Radios Mbeya zina watangazaji wasiozingatia weledi na hawana ubunifu,watangazaji wanabanyanga sana kiswahili sijui ndo wamiliki kushindwa kuwalipa?

Kwa ufupi redio za Mbeya hazina mvuto kiasi kwamba wananchi wengi wanapendelea kusikiliza radio za nje kv ebony fm na za Dar.

Redio za Mbeya zenye nafuu ni kama tatu tu nje ya karibia redio 13, nazo ni Ufm, Bomba fm na Mbeya fm.

Orodha ya redio Mbeya:
1 . Mbeya Fm
2. Ushindi Fm
3. Ilasi Fm
4. Highlands Fm
5. Kyela Fm
6. Sweet Fm
7. Generation Fm
8. Baraka Fm
9. Chai Fm
10. Bomba Fm
11. Kuna moja ipo Uyole mpya
12. Mpanji Fm
13. Orodha ingali inaendelea...

Hebu kuweni wabunifu ajirini vijana wenye weledi na sifa za utangazaji...mnachosha na hamsikiliziki na watu makini.

Nimefanya huu utafiti kitambo sasa.

By n'yadikwa

We jamaa unatumiwa na team fake kadhaa, nimewasikiliza Highlands nimewasikiliza Kyela fm mbona wako bomba tu,!


Haiwezi kuwa hoja ni kiswahili kwani hata hizo radio unazosema ni kubwa kutoka dar zina uharibifu mwingi tu wa kiswahili,

Sema tu una lako jambo
 
si niliwaambia huyu mtu anarusha mawe kwa wengine tu? ha ha haa..ni wa kutoka sehemu moja kati ya zile alizotaja, hawezirecognize kazi za redio nyingine katika jamii yake..that is saddening
 
si niliwaambia huyu mtu anarusha mawe kwa wengine tu? ha ha haa..ni wa kutoka sehemu moja kati ya zile alizotaja, hawezirecognize kazi za redio nyingine katika jamii yake..that is saddening
Mkuu wewe ni Greti Thinka!
You' ve read between the lines!
Huyo jamaa wa Bomba FM anataka kujikweza kwa kuponda redio nyingine, but the track records will speak for themselves.
 
1.Hiyo mpanji fm ni gmcl fm
2.hiyo content regulation act imekuwa ikikiukwa kila wakati that's why anaona some tv stations nchini zinaonyesha irritating contents kwa audience na TCRA haiwashughulikii,so blame them not me.

3.wingi wa redio ni hoja kwa Mbeya kwa sababu umekuwa hauna impact
Kwanza;redio almost zote Mbeya Hazina habari ambayo ni diverse ukitoa chache zenye pgm za habari zinazojitosheleza kv Ushindi ambayo ina reporters mikoa mingi.
Pili;hivyo viredio havifanyi censorship ya programs zao kv news,hakuna mikutano ya habari I.e. postmortem meetings. Kaulize watakwambia,I know.
Tatu,;viredio vyote vina urari wa content mf asbh vyote vina talk shows,mchana vyote vina bongo fleva etc
Kwa hiyo uwingi ni hoja Hususani kama viredio vinaendeshwa hovyohovyo,na sio Ghana tu Kenya wana hivyo viredio vingi lakini wanajitambua,go and research!

4 .Asante kwa kulitambua hilo,let's hope for good.

5. Ilitosha kuwasilisha kile nilichonuia,hicho kinachohusu faida na hasara nakushauri ukianzishie Uzi wake wewe.

Sio lazima kila kitu uwasilishe TCRA nimeleta Uzi huu ili kuwasaidia wadau wa media Mbeya wajirekebishe for good,mind you this has been a generic overview ya Mbeya Fm stations.
Ninajua na Ndio maana nimeuleta huu uzi,after all binadamu tunajua sana labda kama umeuweka ubongo stoo.

Hahahahahaha watanzania tunafurahisha sana. Nimesoma point zako na unaonekana kusifia Ushindi FM na inaonekana ni mdau wa Ushindi FM, hapa kinachokusumbua wewe ni WIVU tu hakuna lolote. Tatizo la content haliko Mbeya tu liko Tanzania nzima kuanzia TBC yenyewe, sasa kulialia na radio za Mbeya ni ushuzi tu. Hata hiyo Ushindi ni nothing in case of content. Mfanano wa vipindi si hoja na hauingiliani kabisa na content. Kuwa na talkshows asubuhi hakumaanishi ndo hakuwezi kuwa relevant content. Mbona taarifa za habari mostly zote zinakuwa saa mbili kwenye kila media na bado kunakuwa na utofauti wa content? content ni somo kubwa sana liache kama huliwezi.

Kama ulikuwa na lengo la kutoa ujumbe ili wajifunze ungeleta hoja kwamba mimi naona wafanye hivi na hivi au ungeenda kupeleka hoja zako kila radio, siyo kulia radio ni nyingi hahahaha. Nadhani ulishatendwa na radio za Mbeya wewe nasasa unajitolea Ushindi.

Tatizo hujui vizuri kuhusu hizo regulations za TCRA ndo maana wewe unaona wanavunja sijui nini. hivi viradio ieleweke haivunji sheria acheni kupotosha vinacontent isiyo relevant tu basi. Zilizovunja sheria zote zimeshitakiwa. Coluds, Kwaneema, Imaan n.k TCRA wapo Mbeya pale Mwanjelwa Century Plaza. Acha kulia humu nenda kawaeleze kama una lengo la kusaidia. Mtu mwenyewe mpuuzi utaandikaje Mpaji FM kama unajua ni GMCL FM? ovyo kabisa
 
Ukizungumzia sampling ya redio ili kupatiwa programs ambazo zinaiathiri jamii kwa ujumla wake kwa Mbeya hakuna inayoipiku Bomba Fm that's why Voice Of America waliichagua hiyo out of all radios Mbeya ili ku-hook program Yao nifanyeje,lakini pia Bomba fm imekuwa na programs nyingi zaidi na prime za wateja kuliko redio nyingine,...Hizo funds za TMF zimekuwa zikitolewa yearly kwa media au individual journalist ambao hupewa fursa ya kuibua masuala ya jamii isiyofikiwa hususani vijijini,Programs kama za Farm Radio International zimepewa Baraka Fm...Let's be frank na tukubali kwamba radio nyingi hapo hazifanyi vizuri,hata hiyo Highlands imekuwa ktk mkumbo wa kutowajali wafanyakazi wake ktk eneo la maslahi na stahiki nyingine za kazi mifano ipo,,,kwanni ukweli usisemwe,tujifunze kuwa honest...halafu hiyo Highlands hata audience yake jijini ni ndogo sana achilia mbali coverage.

Hahahahahaha! yaani unasema programme za farm radio? Farm radio wanaprogramme? hahahaha Farm radio wanaresource pack nenda kwenye website yao hata wewe chukua script andaa vipindi watumie waambie nimezifanyia hivi watahamishia majaro kwako. Yaani kupewa kipindi na VOA ndo mnaona mko safi kila kitu huu ni upumbavu wa hali ya juu. Hebu nisikilize hapa chini:-

1. Hakuna radio Mbeya nzima hata moja inayojitosheleza kimapato kiasi cha kuweza kujiendesha.
2. Radio nyingi zinablind managment ambayo haioni zaidi ya kuendesha radio kwa matangazo ya biashara.

Kama unasema Bomba FM inakubalika mbona mnahaha kusaka matangazo kwenye maofisi ya watu? Radio yoyote iliyojenga credibility ya wasikilizaji zinapelekewa matangazo sana bila hata kuhaha kutafuta. Na ukisema kwenye suala la wasikilizaji ndo kabisaaa, Bomba imebakisha jina tu. Tokeni fanyeni utafiti acheni kelele za kwenye computer. Radio zenye audience sasa hivi Mbeya ni:-

1. Ushindi FM
2. Baraka FM

Unajua kwanini? Kwasababu zinacontent za dini. Hivyo watu hufuata content za dini tu basi kwingine ni kawaida sana.

Lakini hata hivyo, hizi radio kwa kiwango chake zinajitahidi kinachotakiwa sasa hivi tunataka kuona nguvu mpya na mawazo mapya. Njoo Dodoma A FM
 
Ha ha ha!
Mi nafikiri mpumavu Zaidi ni wewe usiyejua maana.
Sasa kwa vile upumbavu ni zao la ujinga, hebu tukupe somo, maana vyote wewe unavyo.

Redio nyingi kati ya hizo(na kwingineko nchini) zinatangazia Construction Permits zinazotolewa na TCRA, na sio Commercial Content Service Operating Licenses zinazotolewa a TCRA kwa The Broadcast Services Act, 1993 and The Tanzania Communication Regulatory Authoriy Act, 2003.

Tafuta hizo docments na ujridhishe mwenyewe ikiwa kama radio zote zinazo hizo leseni.

Na kwa taarifa yako, hao wenye leseni wanalipia dola 3070 kwa mwaka .

Sasa kwa kukuondoa kaujinga hebu futa kaupumbavu uliko nako.

Nawewe ni Mpyuka tu!

1. Hiyo CP si ndo kibali cha kuanza kutangaza? au wewe ulitaka nini? Leseni haitolewi kama ya kuuza nyanya, inatolewa baada ya kutimiza matakwa ambayo mengi yako based kwenye hiyo ACT ya mwaka 2005.

2. Na hiyo leseni si commercial tu kama ulivyoandika. Kuna community, non commercial, commercial na public.

3. Na suala la kulipia license fee kwa mwaka ni based on coverage kama ni district, reginal or national. Kwa level ya district ni dola 2000 kwa miaka mitatu ya leseni baada ya hapo ndo unatakiwa kuhuisha tena. Pia kuna FQ fee ambayo kwa namna mbili depends on your TX power na coverage yako. Mostly haizidi dola 1000 kila mwaka.

Lakini kwa license kama za community content there is no license fee.

Lione :-D
 
@ jidu lamabambasi_Hivyo ni vipindi vya clients mkuu kama ilivyo kwa vipindi vya VOA pale Bomba fm au vipindi vya Sanitarium Clinics ambapo baadhi vinakuwa pre recorded au live lakini client anasisitiza ubora,vipo vipindi kama vya shamba darasa chini ya Farm Radio International vinarushwa kwenye baadhi ya stations hapo lakini under strict supervision ya client,hivyo huwa okay tofauti na vipindi ambavyo vipo kwenye schedule rundown ya vituo.Tatizo kubwa Lipo kwenye deliveries,watangazaji wengi Wapo chini ya viwango walipaswa wasiwe watangazaji Bali producers au waende kuandika news kwenye magazeti,unajua broadcasting mbali na weledi wa kitaaluma inataka talent na mastery ya broadcasting ili kutengeneza rapport. Redio chache Mbeya zina watangazaji wanaojitahidi kama Lucy Patrick yupo na VOA sasa,Dj Fredy,nk lakini the majority ya watangazaji ktk Fm stations za Mbeya ni tatizo,,,nakupa mf. Nenda umsikilize mtu anaitwa mkisi Ushindi fm utachoka,au Derick sweet pale ni tatizo,uelewa wa mambo ni mdogo na wanajiweka kuwa wachambuzi wasio ba weledi,matamshi ni tatizo kubwa 'l' na 'r' zinachanganywa hovyo,ooh no ukiwa Mbeya utawachagua watangazaji wa kuwasikiliza ila sio redio tofauti sana na redio za Arusha au Dar ambazo unaweza kuwa shabiki wa redio kv redio 5 etc

Hapa kidogo umeanza kuongea hoja za maana. Ungeleta mada ya hivi siyo kuponda wingi radio
 
Hahaa wenye viredio uchwara wanatoka mapovu humu na matusi juu ila Ndio hivyo viredio vyenu havina mvuto binafsi huwa nasikiliza redio zinazojielewa we tokwa poovu wee lakini massage sent and delivered.Adios

Viredio kama Highlands fm watu walishaacha hata kuzisikiliza! Huruma sana!
 
Ndugu yangu N'yadikwa, maisha ni kujifunza, kama una akili timamu ukisoma comment za Masopakyindi utaona jinsi alivyokuvua nguo, lakini kama alivyosema Mwandosya akimjibu Zitto... Akili ni nywele, kila mtu ana zake

Nakutakia kila la kheri katika ujuha wako
 
Nawewe ni Mpyuka tu!

1. Hiyo CP si ndo kibali cha kuanza kutangaza? au wewe ulitaka nini? Leseni haitolewi kama ya kuuza nyanya, inatolewa baada ya kutimiza matakwa ambayo mengi yako based kwenye hiyo ACT ya mwaka 2005.

2. Na hiyo leseni si commercial tu kama ulivyoandika. Kuna community, non commercial, commercial na public.

3. Na suala la kulipia license fee kwa mwaka ni based on coverage kama ni district, reginal or national. Kwa level ya district ni dola 2000 kwa miaka mitatu ya leseni baada ya hapo ndo unatakiwa kuhuisha tena. Pia kuna FQ fee ambayo kwa namna mbili depends on your TX power na coverage yako. Mostly haizidi dola 1000 kila mwaka.

Lakini kwa license kama za community content there is no license fee.

Lione :-D
Acha bla bla!
Kwa kukusaidia uelewa soma TCRA wanasema nini juu ya Construction Permit na Content Service Licences.
 
Nasema ni kero kwa sababu hizo Fm Radios Mbeya zina watangazaji wasiozingatia weledi na hawana ubunifu, watangazaji wanabanyanga sana Kiswahili, sijui ndo wamiliki kushindwa kuwalipa?

Kwa ufupi redio za Mbeya hazina mvuto kiasi kwamba wananchi wengi wanapendelea kusikiliza radio za nje KV Ebony FM na za Dar.

Redio za Mbeya zenye nafuu ni kama tatu tu nje ya karibia redio 13, nazo ni UU-FM, Bomba Fm na Mbeya Fm.

Orodha ya redio Mbeya:
1 Mbeya Fm
2. Ushindi Fm
3. Ilasi Fm
4. Highlands Fm
5. Kyela Fm
6. Sweet Fm
7. Generation Fm
8. Baraka Fm
9. Chai Fm
10. Bomba Fm
11. Kuna moja ipo Uyole mpya
12. Mpanji Fm
13. Orodha ingali inaendelea...

Hebu kuweni wabunifu, ajirini vijana wenye weledi na sifa za utangazaji. Mnachosha na hamsikiliziki na watu makini.

Nimefanya huu utafiti kitambo sasa.

By n'yadikwa
Radio Kila Kona Mpaka Bila Umeme/Battery Unaweza Kusikiliza Tu
 
Back
Top Bottom