Mbeya: Nilikumbana na Mauza Uza ya Wachawi

Mbeya: Nilikumbana na Mauza Uza ya Wachawi

Daah mbeya sirudii mimi. Maisha rahisi ila wachawi sasa
Wapo.
Baba yangu aliuwawa hapohapo alikua jeuri.
Kaambiwa usipite huku yeye msahaulifu anapita mlemule anakunja kona anatambaa kwenda mjini.
Yule bibi frenki simsahau,
dingi alipiga mwereka pale akaambiwa hilo onyo tu,
Akapita tena hakurudi.
Kilisikika tu kilio "mamaaaa ngufwa"
 
Hatari sana, alaf sijui huwa wakoje anataka ukimsaidia ndo muwe kama ndugu.. Na akiona unapiga hatua tu tayari topic ya mtaa... Alaf walivyo wapole kwa nje huwezi dhania kabisa..
Mkuu uko kama mimi nilivo ndio mana nakumwagia like.

Mimi nilwahi kupotea sehemu njia kwa akili ilivojichanganya nilifanyiwa kitu kibaya sana
 
Mkuu uko kama mimi nilivo ndio mana nakumwagia like.

Mimi nilwahi kupotea sehemu njia kwa akili ilivojichanganya nilifanyiwa kitu kibaya sana
Ilikuaje mpka ukapotea na ilitokea mara ngapi?
 
Kumbe hadi demu wako alikublock 😹😹
Tatizo lilianzia mbali, wewe una kimavi haiwezekani kila kitu kikufungie vioo..!!
 
Kumbe hadi demu wako alikublock 😹😹
Tatizo lilianzia mbali, wewe una kimavi haiwezekani kila kitu kikufungie vioo..!!
Don't bring negative vibes ewe cursed specie.. Unalaana mbaya na utakufa vibaya mno
 
Ndo maana nikakuuliza hiyo incident ilianzia wapi na iliishaje mpk unarudi katika hali ya kawaida
ni miaka mingi imepita iyo hali ilinianza dar nilipoteza kila kitu changu kwenye bias hara mpk leo sijarudi kwenye maisha halisi kama nilivokua.
saiv nasali sana na maombi yananisaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom