Mbeya: Nilikumbana na Mauza Uza ya Wachawi

Mbeya: Nilikumbana na Mauza Uza ya Wachawi

Inatokea sana hiyo na sio uchawi huo. Unaweza kupoteza dira sehemu ambayo ni mwenyeji kabisa, unapapita hadi nyumbani kwako. Watu wa Singida wanaita "Ndoe"
Mimi haukua uchawi sijui ilikua ni kitu gani kilinisababisha. Ndoe ndio nini ifafanue kidogo
 
Mimi haukua uchawi sijui ilikua ni kitu gani kilinisababisha. Ndoe ndio nini ifafanue kidogo
Mimi binafsi haijawahi nitokea ila nimeshuhudia watu kadhaa ikiwatokea miaka ya nyuma, sijui kwa sasa. Mfano mtu kazaliwa mtaa fulani na amekulia hapo hapo hadi utu uzima, lakini siku ya siku kama alikua ametoka kwenda matembezini anapasahau anapoishi anatokea hata mtaa wa 7 huko, inawezekana na anapita hapo hapo kwake. Hiyo ni kijijini na hakuna msongamano.

Sijajua ilikua inasababishwa na nini mawazo au afya ya akili. but it was common those days.
 
ni miaka mingi imepita iyo hali ilinianza dar nilipoteza kila kitu changu kwenye bias hara mpk leo sijarudi kwenye maisha halisi kama nilivokua.
saiv nasali sana na maombi yananisaidia
Kwa hiyo kilicho kufanya upotezee vitu ni kukosa kumbukumbu au uliibiwa tu... Na hicho kitendo ndo kikakubadili ?
 
Wapo.
Baba yangu aliuwawa hapohapo alikua jeuri.
Kaambiwa usipite huku yeye msahaulifu anapita mlemule anakunja kona anatambaa kwenda mjini.
Yule bibi frenki simsahau,
dingi alipiga mwereka pale akaambiwa hilo onyo tu,
Akapita tena hakurudi.
Kilisikika tu kilio "mamaaaa ngufwa"
Hii stori ya kutunga ama?
 
Hii stori ya kutunga ama?
Hii ni kweli kabisa.
Kwa macho yangu na Baba aliniambia kila kitu.
Siku 2 hajafa alinikabidhi radio monography ina player santuri juu🥲
Na sahani zote (Franco,Sam mangwana,Tabu Ley,Nico zengekala,hadi viva la muzica enzi ikiitwa extra vuvu)
Kiupole sana "Mwanangu Nikifa kaa na hivi vitu ujiburudishe"
Na kafa kweli ni miaka 40 imepita sasa.
 
Hii ni kweli kabisa.
Kwa macho yangu na Baba aliniambia kila kitu.
Siku 2 hajafa alinikabidhi radio monography ina player santuri juu🥲
Na sahani zote (Franco,Sam mangwana,Tabu Ley,Nico zengekala,hadi viva la muzica enzi ikiitwa extra vuvu)
Kiupole sana "Mwanangu Nikifa kaa na hivi vitu ujiburudishe"
Na kafa kweli ni miaka 40 imepita sasa.
Aisee pole sana mkuu
 
binafsi mtu akijichanganya anga zangu kuna mawili afe,mkosi au apoteze kila kitu,hii n natural.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom