Kwani Dar na Mbeya kuna umbali gani kwa muda wa siku 4 mtu umeenda marekani na kurudi.Welcome back bro Mdude ila yule aliyesema kapelekwa kambi ya jeshi Dar sijui naye nani... kumbe kapatikana Mbeya hukohuko... kweli mbongo mpe picha tu mengine yote anamaliza mwenyewe...bila kelele za umma asingepatikana huyu chalii