Mmekabidhiwa serikali muwaletee watu maendeleo, sio kuwatisha na kuwateka! Jiwe kafeli.Haya sasa arudi tena kuendelea kubonyeza keyboard.
Utekaji umenoga!Je amesema aliwatapeli nini hao waliompiga?
upo room namba ngapi hapo Dodoma kwa wenzakoUnaushahidi wo wote kuhusu waliowateka? Watu wanashughulikiana kwa kuzini na wake/ wapenzi wa wenzao, wewe unasema wanatekwa na dola. Huo ni upungufu wa akili.
Shetani hajawahi kumshinda MunguHeshima kwenu wakuu,
Taarifa za awali zinathibitisha kuwa Mdude Nyagali amepatikana akiwa hai, sema kapigwa sana. Hawezi kutembea wala kujipandisha kwenye bajaji. Utaratibu wa kupelekwa Hospitali apewe huduma ya kwanza unafanyika.
Mdude amepatikana katika Jimbo la Mbeya Vijijini kata ya Inyara Kijiji cha Makwenje kitongoji cha Mwasho.
Taarifa hizi za awali zimethibitishwa na Diwani wa CHADEMA mkoani humo, Kissman Mwangomale.
Siku ya Jumamosi Tarehe 4 Mei 2019, Mwanaharakati na Mwanachama wa CHADEMA, Mpaluka Said Nyagali (Mdude Chadema) alivamiwa kisha kuchukuliwa na watu ambao hawakutambulika wenye Silaha za moto, akiwa ofisini kwake, eneo la Vwawa, Mbozi, mkoani Songwe, katika tukio lenye dalili za utekaji.
Zaidi, soma;
John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)
Mbunge wa Kibamba kupitia CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter amesema kuwa Chadema Mdude amechukuliwa na Watu wenye silaha Aidha, yeye mwenyewe amesema CHADEMA inafuatiloa suala hilo na taarifa zaidi itatolewa muda si mrefu ====== CHAMA CHA DEMOKRASIA NA...www.jamiiforums.com
Stay tuned
Bora mtukanaji kuliko mtekaji.Police wamkamate sasa wamfanyie upelelezi na wamfungulie mashtaka ya kujiteka kabla hajaanza kumtukana tena raisi wetu
Hii awamu ya meko na bashite inazid kujivua nguoHeshima kwenu wakuu,
Taarifa za awali zinathibitisha kuwa Mdude Nyagali amepatikana akiwa hai, sema kapigwa sana. Hawezi kutembea wala kujipandisha kwenye bajaji. Utaratibu wa kupelekwa Hospitali apewe huduma ya kwanza unafanyika.
Mdude amepatikana katika Jimbo la Mbeya Vijijini kata ya Inyara Kijiji cha Makwenje kitongoji cha Mwasho.
Taarifa hizi za awali zimethibitishwa na Diwani wa CHADEMA mkoani humo, Kissman Mwangomale.
Siku ya Jumamosi Tarehe 4 Mei 2019, Mwanaharakati na Mwanachama wa CHADEMA, Mpaluka Said Nyagali (Mdude Chadema) alivamiwa kisha kuchukuliwa na watu ambao hawakutambulika wenye Silaha za moto, akiwa ofisini kwake, eneo la Vwawa, Mbozi, mkoani Songwe, katika tukio lenye dalili za utekaji.
Zaidi, soma;
John Mnyika: Watu wenye silaha wamemchukua Mwanachama wa CHADEMA, Mdude Nyagali (Mdude CHADEMA)
Mbunge wa Kibamba kupitia CHADEMA, John Mnyika kupitia ukurasa wake wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter amesema kuwa Chadema Mdude amechukuliwa na Watu wenye silaha Aidha, yeye mwenyewe amesema CHADEMA inafuatiloa suala hilo na taarifa zaidi itatolewa muda si mrefu ====== CHAMA CHA DEMOKRASIA NA...www.jamiiforums.com
Stay tuned
Kina Mo, Roma.... Walimtampeli nani? Acheni roho mbayaJe amesema aliwatapeli nini hao waliompiga?
True ! kupatikana kwa mdude ni nguvu ya umma , pamoja na Msiba mzito wa Mzee Mengi lakini taarifa za Mdude hazikuzimikaUmma ukiamua hakuna linaloshindikana!
Nimetoa ushauri tu kwa huyo mdude.Mmekabidhiwa serikali muwaletee watu maendeleo, sio kuwatisha na kuwateka! Jiwe kafeli.
bila bunduki ccm ni mdebwedo vibaya mno !Wekeni bunduki chini tupambane kwa hoja