WALDO
JF-Expert Member
- Mar 15, 2019
- 392
- 374
hatari sana kujiteka ni balaa sio mchezo halafu ujipige usoni utune kama hamira kwa jinsi anavyoonekana hapo juu kwenye pichaIsiwe alijiteka na kujiumiza mwenyewe!Kama alifanya kumuiga Nondo basi naye ajiandae kushitakiwa na jamhuri