mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,641
na baaaaaado
HAPA MOSHI NDIO HAWATHUBUTU KULETA UPUUZI WAO TK MWAKA JANA ASKAR 2 WAPIGWE HD KULAZWA ICU kcmc WAMESHIKA ADABUMikoa ya mby NA arusha inajua kutetea haki zao
Nahisi ndo wanachokitaka ccm wanapofika wakati badala yakupunguza matatizo ya mnyonge ndo wanazidi kuyaongeza, je ujambazi ukishamiri watamlaumu nani?
mzaz kweli kimenuka mbaya inamaana hilo tukio ndio linaendelea.
By Sumbalawinyo:
Polisi imepiga marufuku maandamano ya
kesho na magari ya polisi yenye vipaza
sauti yananapita mitaani yakiwatisha
kuwa kesho wasiandamane na
wakithubutu tu, polisi watatumia risasi za
moto kudhibiti maandamano hayo.
Maneno hayo yanatoka kwenye difenda
ya FFU yenye vipaza sauti, nimeshindwa
kukopi namba kwa kuwa taa ya kwenye
number plate haiwaki.
Nasikia kuna gari la halmashauri limechomwa.
ilikua vita ya wamachinga na Polisi, mwishowe imegeuka vita ya Mbeya Nzima.
Gari za Tunduma Dar zimerudi Tunduma No Safari.
Mabomu ya machozi mtindo mmoja.
Dodoma hata siku moja. Kule hawajui haki zaidi ya 'kudumu kwa fikra za mwenyekiti wa Chama' au labda kama ulimaanisha UDOM. Haya mambo hawawezi kufanya kule kwetu au kwa watani zangu Waha, ni miguu tu ndio imeliwa na funza lkn ubongo unaboreshwa na mawesearusha, mwanza, now mbeya...bado dodoma, Dar?
askari wengi walipelekwa dar na arusha kuzima maandamano ya chadema kumbe mbea ndo wataandamana, PEOPLES POWERWatu wameshaanza kuandamana,wameshika bendera za chadema huku wakiimba,CCM TUMEWACHOKA..