<br />asante kwa taarfa. wanawahamishia wapi? hivi hawa watendaji wetu huwa wanapitia somo la negotiation/peoples' skills? kazi ipo!
<br />Machinga wa Uwanja wa Sokoine wanapigana na polisi na mgambo wa City, vita ni vikali wanagoma kuhamishwa.<br />
Source: upendo FM muda huu wanatangaza
<br />Machinga wa Uwanja wa Sokoine wanapigana na polisi na mgambo wa City, vita ni vikali wanagoma kuhamishwa.<br />
Source: upendo FM muda huu wanatangaza
<br /><br /><br />
<br /><br />
Bila shaka hao wamachinga watakuwa wamehamasishwa na chadema kugoma kuhama kwa kuwa sasahivi ndo wahamasishaji wa migomo na maandamano nchini.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Bila shaka hao wamachinga watakuwa wamehamasishwa na chadema kugoma kuhama kwa kuwa sasahivi ndo wahamasishaji wa migomo na maandamano nchini.
<br />
Kama huna cha kuongea c ukae kimya u crap!
<br />
Na hajamwelewa kabisa... Ngoja nimsaidie kuomba radhi. Mwita wasamehe hao hapo juu nna hakika hawajakuelewa. Wafafanulie wakuelewe tafadhali!HTML:
Hujamuelewa Mwita Maranya. muombe radhi.
asante kwa taarfa. wanawahamishia wapi? hivi hawa watendaji wetu huwa wanapitia somo la negotiation/peoples' skills? kazi ipo!
<br /><br /><br />
<br /><br />
Bila shaka hao wamachinga watakuwa wamehamasishwa na chadema kugoma kuhama kwa kuwa sasahivi ndo wahamasishaji wa migomo na maandamano nchini.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Bila shaka hao wamachinga watakuwa wamehamasishwa na chadema kugoma kuhama kwa kuwa sasahivi ndo wahamasishaji wa migomo na maandamano nchini.