Alarm
Member
- Nov 4, 2016
- 21
- 3
Nimeenda Mbeya nikamkuta daktari anaitwa Danny! Anatamba hata kipindi hiki cha daktari Magufuli.
Anajiita Daktari Bingwa wa Mifupa wakati ana degree moja tu.
Alihamishwa toka Peramiho na kupelekwa hospitali ya Rufaa ya Mkoa Mbeya.
Amesababisha vifo vingi kutokana na kufanya upasuaji asiosomea.
Mwezi wa tatu mwaka huu alisababisha kifo cha mwendesha bodaboda aliyekuwa akiitwa Festo aliyelazwa hospitali ya rufaa Mbeya baada ya kugongwa na gari ya mmiliki wa hotel moja iitwayo Kwetu Pazuri.
Haijulikani Danny alipata wapi taarifa za huyo mgonjwa kulazwa hospitali ya Rufaa Mbeya na kisha mgonjwa akahamishwa na akaishia kufanyiwa operation hospitali ya private ya K's Hospital; hii ni baada ya mgonjwa Festo kuambiwa na madaktari wa hospitali ya kanda ya Rufaa Mbeya kwamba hawatoweza kuokoa mguu wake.
Danny baada ya kwenda kumfanyia operation hapo K's akagundua hawezi okoa mguu huo akiwa anaendelea na operation. Ndugu waliombwa watoe pesa za damu iliyoendwa kufuatwa benki ya damu Mbeya.
Danny ana mambo mengi sana yanayoaibisha madaktari.
Amewaacha watu wengi wakiwa vilema, ikiwamo mke wa mfanyabiashara mashuhuri wa jijini Mbeya (Babito).
Amekuwa na mtandao wa kuhamisha wagonjwa (ukiwahusisha manesi wa wodi hadi mafundi wa mionzi) waliopata ajali toka hospitali ya kanda ya rufaa Mbeya (ambayo si hospitali yake) na kwenda kuwafanyia operation kwenye hospitali binafsi iitwayo K's Hospital, kwa gharama kubwa huku akiwaacha wagonjwa na vilema vya kudumu au vifo.
Ana ushirikiano na laboratory technician wa NBTS Mbeya (ipo Meta hospitali) katika kuwauzia ndugu damu.
Watu gani wanamlinda Danny? Je, walewale wanaomlinda 'Dr. Nyagori' wa Morogoro.