Mbeya Jiji la Squatters: Dkt. Tulia tunaomba shughulikia hili

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
17,882
13,172
1701151212853.png
1701151230180.png
1701151253713.png
1701151285208.png

"Jiji" la Mbeya ni 90% squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandela) na Majengo na mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati, Isyesye, Mabatini, Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr. Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakaowezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili, hapo Kimara-Kibaha.

Dr. Tulia hili ukifanya litakumbukwa kwa miaka mingi.
 
Suluhisho la hili sio Mbeya tu bali nchi nzima lipo hapa!

 

"Jiji" la Mbeya ni 90" squatters.


Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Watu wa Mbeya inabidi wajitafakari sana na wajifunze sana kupajenga kwao vizuri.

Mbeya ni sehemu iliyojengwa hovyo kuliko sehemu zote Tanzania.

Kwa mkoa mzima sehemu iliyopangwa at least ni Kyela tu. Sehwmu nyingine zote ni kama jalala la takataka
 
Nchi yote imeoza kwa mpangilio mbovu. Ni sehemu chache sana zimepimwa nchini. Sehemu kubwa watu wamejijengea tu bila mpangilio. Na hiyo ni ksbb ya serikali kutoenda na wakati. Hawafanyi kwa wakati kuyapima maeneo,na kupitisha miundombinu
 

"Jiji" la Mbeya ni 90" squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandel) na Majengo n mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Mbeya, hata Manzese afadhali!
Inabidi wajitoe kifua , nyumba zibomolewe, barabara ziingizwe kwenye ramani mpya.
Hapo Jiji litafunguka.
 

"Jiji" la Mbeya ni 90" squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandel) na Majengo n mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.
Kuna maeneo Mwanjelwa ukiwaka moto nyumba moja utaua watu mtaa mzima
 

"Jiji" la Mbeya ni 90" squatters.

Hata aliyekuwa mkuu wa mkoa wakati fulani Mateo Qares, aliliita jiji la Mbeya kijiji kikubwa.

Sehemu ambayo imepimwa vizuri jiji la Mbeya ni lile la mkoloni, Uzunguni, Ghana, Soko Motola(alikofikia Mandel) na Majengo n mjini kati.

Lakini sehemu ambazo kuna watu wengi zaidi kama Mwanjelwa, Mafiati,Isyesye, Mabatini , Nzovwe na sehemu nyingi hali ni mbaya sana.

Dr Tulia sasa tunakutegemea kuanzisha mpango kabambe utakao wezesha kuchonga barabara kati kati ya hizo squatters. Ofcourse lazima watakaobomolewa inabidi walipwe fidia.

Hili lazima lifanyike sasa, maana 50 years later ndio mafanikio yataonekana.

Magufuli ametuonyesha hili hapo Kimara-Kibaha.

Dr Tulia hili ukifanya litakumbkwa kwa miaka mingi.

Mbeya bana, halafu wenyewe wanajiona wajanja na wajuaji.
 
Mleta mada kaandika kitu cha msingi sana. Kati ya miji ambayo ni poorly planned ni Mbeya na Dar. Mbeya pamepangwa vibaya sana, nadhani anahitaji kupangwa upya. Aliyepanga mji wa Kasulu, Sumbawanga katikati na Kakonko nadhani alipaswa kupeleka Mbeya akawafunze namna ya kupanga mji
 
Watu wa Mbeya inabidi wajitafakari sana na wajifunze sana kupajenga kwao vizuri.

Mbeya ni sehemu iliyojengwa hovyo kuliko sehemu zote Tanzania.

Kwa mkoa mzima sehemu iliyopangwa at least ni Kyela tu. Sehwmu nyingine zote ni kama jalala la takataka
Acha ukasuku sehemu uliyotembelea Mbeya ni wapi ambako kama jalala.Kwa kuongezea maeneo aliyotaja mtoa mada;sehemu zingine zilizopimwa ni Soweto Block Q ambapo nimezaliwa na kukulia,Block T,Veta na Sae.Maeneo ambayo ni squatter kwa mujibu wa picha zake hapo nimeona maeneo ya milimani kama Simike,Mabatini,Isanga,Ilemi nk,huku wengi wanaishi lower class.Ni kama Mwanza maeneo ya Ghana,Mabatini,Igogo,Nyamanoro nk.
Wewe kwenu wapi kwanza maana naona unashupaza fuvu sana kila kitu wewe humu jamvini unajua!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom