ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
- Thread starter
- #21
Aiseeeee!
Mkuu sasa unapotea.
Yani draw ya juzi ya Azam tayari leo umekimbilia Mbeya city duh?
Anyway wewe zunguka mpaka uzimaloze timu zote za ligi kuu kisha utajikuta umeangukia kwa 'KILUVYA UTD'
kuanzisha uzi huu ni sawa na nyingine tu usiogope sana mtu wangu nikawaida tu tupo pamoja mkuu..