Mkuu unakimbia mapema hewani,uwe unabakibaki kidogo,hapo sawa,kazeni bwana hata mkitolewa nusu c mbaya wasije wakasema ni nguvu ya home tu.
Tunashukuru kwa maombi yenu yaliyoiwezesha mbeya city kutinga robo fainali ya cecafa nile basin cup matokeo ya leo. Mbeya city 0 Enticelles 0 matokeo haya yanaipeleka mbeya city katika hatua ya robo fainal
Ndugu kesho 30 April 14 ni robo fainali kati ya mbeya city - Tanzania na victoria - Uganda. Huko Khartoum Sudan.
We ndetichia kila team inayoibuka wewe unashabikia tu, Mara Azam mara Manchester city na sasa hivi Mbeya city Sitashangaa siku nikikuta Stand United special thread ya mjini Shinyanga...Tumewasili salama Dar tukitokea khatoum Sudan sasa ni safari ya kuelekea Mbeya.
sosi. Mcc fan page
hahahahahah haya bana, ila unabidii sana...tena naanzisha sasa hivi..