Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Ule mpango kabambe wa Kisasa wa kusajili wanachama wake unaotikisa nchi kwa sasa unaoitwa Chadema Digital umeingia rasmi Eneo Muhimu sana la Mkoa wa Mbeya liitwalo Uyole, hii ndio njia panda pekee kwenye eneo la Maziwa Makuu yenye karibu kila kitu.
Kitu cha kushangaza hapa Uyole ni wingi wa Wazee wanaojitokeza kusajiliwa kwenye Mpango huu, Taarifa zinadokeza kwamba Wazee wengi wamechoka kukopwa mazao yao kwenye ule mpango uliopitwa na wakati unaoitwa STAKABADHI GHALANI , huu ni mpango wa kishamba wa serikali kukopa mazao ya wakulima na kuwalipa PANAPO MAJALIWA, Wazee wanaiona Chadema kama Mkombozi wao na wanaona kama ndio chama kitakachowalipa mazao yao kwa Cash, wanaichukulia Chadema kama TUMAINI LAO .
Hapa Salum Mwalimu akimsajili Mzee aliyezaliwa mwaka 1911 , ambaye amechoka kukopwa mazao yake .
Kitu cha kushangaza hapa Uyole ni wingi wa Wazee wanaojitokeza kusajiliwa kwenye Mpango huu, Taarifa zinadokeza kwamba Wazee wengi wamechoka kukopwa mazao yao kwenye ule mpango uliopitwa na wakati unaoitwa STAKABADHI GHALANI , huu ni mpango wa kishamba wa serikali kukopa mazao ya wakulima na kuwalipa PANAPO MAJALIWA, Wazee wanaiona Chadema kama Mkombozi wao na wanaona kama ndio chama kitakachowalipa mazao yao kwa Cash, wanaichukulia Chadema kama TUMAINI LAO .
Hapa Salum Mwalimu akimsajili Mzee aliyezaliwa mwaka 1911 , ambaye amechoka kukopwa mazao yake .