Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
HOT NUUZ!! SAKATA LA KUTENGENEZA BARA BARA YA LAMI KWA KUTUMIA CEMENT: MKURUGENZI WA JIJI ASEMA BARABARA IMETENGEWA MILIONI 400 KWA AJILI YA UKARABATI
Hii ndio Bara bara ya Mbalizi Road Maeneo ya Hospitali ya wazazi Meta Jijini Mbeya, Ikiwa imezibwa viraka kwa kutumia Cement
Baadhi ya Viraka vikiwa vimezibwa
Mafundi wakiwa bize wanahangaika kuziba viraka hivyo
Wafanya kazi wa Jiji wakiendelea kukoroga zege tayari kupeleka kuziba viraka katika bara bara ya lami
Shughuli ya kuziba viraka kwa kutumia cement imekamilika, Inasubiri kukauka magari yaanze kupita
Mafundi wakiendelea kuziba mashimo ya Bara bara kwa Kutumia Cement
Mkurugenzi wa Jiji La Mbeya akiongea na waandishi wahabari
Mmoja wa Waheshimiwa Madiwani akihoji juu ya uzibaji wa viraka vya bara barani, na kusema kama vinafaa akawambie wananchi nao waanze kuziba bara bara hizo kwa kutumia Cement
****************************