Kwa waliosoma Arts kuanzia Form I ni ngumu kuelewa "elasticity"!
Cement haiwezi kuziba "kiraka" cha barabara ambayo imetengenezwa awali kwa kiwango cha lami - Ni uendawazimu and mostl likely UJINGA!
Nitaelewa kama ni hatua ya dharura.....kwamba hawana lami na barabara imeharibika kupitiliza (na labda kuna mkubwa atapita mitaa hiyo siku za karibuni)....
Kwa kulinganisha flexibility, Lami ni flexible, wakati zege ni almost rigid.....sasa kuchanganya hivi sio sahihi...
Bottom line, zege waliloweka litazidi kuharibu hiyo lami ya zamani.....
huyu bwana anazungumzia ulaya gani wanaziba viraka vya lami kwa kuweka cement? sijaona hicho kitu,uakarabati wao lazima waweke lami hasa baada ya winter na mara nyingi hutanguliza cement kwanza na kuziba kwa lami juu kama walivofanya wachina kuanzia ubungo hadi eneo la mliman city.labd utuambie wanatumia zege kwenye vilima korofi kuanzia mwanzo na sio kuchanganya
mbeya wameibiwa hakuna lolote ujinga mtupu.
jamani angalieni bara bara ya lami hiyo ....itawekwaje viraka vya sementi? eti hadi ulata wanafanya...ulaya gani? kuweka viraka ka cement kwenye bara bara ya lami? sijaona
Hii hata kabla ya kuangalia hizo picha nilianza kucheka kwa kukumbuka "Visa vya Pwagu na Pwaguzi" pale walipotengeneza barabara kwa kuweka mkaa badala ya lami.
waMbeya, "manyoya hayo, kuku kaliwa zamani".
Hii hata kabla ya kuangalia hizo picha nilianza kucheka kwa kukumbuka "Visa vya Pwagu na Pwaguzi" pale walipotengeneza barabara kwa kuweka mkaa badala ya lami.
waMbeya, "manyoya hayo, kuku kaliwa zamani".