instagramboy
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 1,521
- 346
Nchi ya maigizo hii
Hiyo barabara ya meta haijawahi kuwa katika hali nzuri hata siku moja, itakua maajabu kama itahimarika baada ya huo ukarabati.
Mbeya haibadiliki tu hizo picha kama ni recent inatia huruma maana mji ulikua hivyo hivyo miaka10 iliyopita.
Hata barabara za lami kuna baadhi ya maeneno hutumika zege kama msingi C1, CRR,Mbona post yako haina maoni?, tatizo ni nini hapo?, ni kuziba viraka kwa sement?! Au ni barabaa kuharibika? Au unadhani sementi haijengi barabara?!, nijuavyo mimi siyo lami tu ndiyo hutengeneza barabara: baadhi ya brbr za ulaya hutengenezwa kwa material mbadala kama vile crankers na au polymers(soil binders) na brbr huwa imara kuliko lami. Hata south africa sasa wanatumia polymers. Sementi hutengeneza brbr imara zaidi kuliko lami; mf: brbr za kiwanda cha sement -songwe mbeya zimejengwa kwa sement na hubeba mitambo mizito zaidi. Kwa hiyo barabara ikitengenezwa kwa sement bila uchakachuaji huwa imara zaidi.
Hata barabara za lami kuna baadhi ya maeneno hutumika zege kama msingi C1, CRR,HOT NUUZ!! SAKATA LA KUTENGENEZA BARA BARA YA LAMI KWA KUTUMIA CEMENT: MKURUGENZI WA JIJI ASEMA BARABARA IMETENGEWA MILIONI 400 KWA AJILI YA UKARABATI
![]()
Hii ndio Bara bara ya Mbalizi Road Maeneo ya Hospitali ya wazazi Meta Jijini Mbeya, Ikiwa imezibwa viraka kwa kutumia Cement
![]()
Baadhi ya Viraka vikiwa vimezibwa
![]()
Mafundi wakiwa bize wanahangaika kuziba viraka hivyo
![]()
![]()
Wafanya kazi wa Jiji wakiendelea kukoroga zege tayari kupeleka kuziba viraka katika bara bara ya lami
![]()
Shughuli ya kuziba viraka kwa kutumia cement imekamilika, Inasubiri kukauka magari yaanze kupita
![]()
![]()
![]()
Mafundi wakiendelea kuziba mashimo ya Bara bara kwa Kutumia Cement
![]()
Mkurugenzi wa Jiji La Mbeya akiongea na waandishi wahabari
![]()
Mmoja wa Waheshimiwa Madiwani akihoji juu ya uzibaji wa viraka vya bara barani, na kusema kama vinafaa akawambie wananchi nao waanze kuziba bara bara hizo kwa kutumia Cement
****************************
Mbona post yako haina maoni?, tatizo ni nini hapo?, ni kuziba viraka kwa sement?! Au ni barabaa kuharibika? Au unadhani sementi haijengi barabara?!, nijuavyo mimi siyo lami tu ndiyo hutengeneza barabara: baadhi ya brbr za ulaya hutengenezwa kwa material mbadala kama vile crankers na au polymers(soil binders) na brbr huwa imara kuliko lami. Hata south africa sasa wanatumia polymers. Sementi hutengeneza brbr imara zaidi kuliko lami; mf: brbr za kiwanda cha sement -songwe mbeya zimejengwa kwa sement na hubeba mitambo mizito zaidi. Kwa hiyo barabara ikitengenezwa kwa sement bila uchakachuaji huwa imara zaidi.