Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
.......am i missing something here?
Wala haujakosa chochote, inaelekea hujajijua kuwa unareact kwa kesi ya sakatri
.......am i missing something here?
But he had been under pressure to quit after a judge ruled last week that he had instigated corruption charges against Zuma, AP said. African President Mbeki to quit
Hali ya South Africa Inatisha sana. Kuna wasiwasi kuwa SA itapitia njia ile ile ya Zimbabwe pamoja na wao kubadilisha viongozi. Tatizo la Afrika ya Kusini linatokana na attitude za watu wengi kudhani kuwa Uhuru ungewafanya waishi kama makaburu bila kufanya kazi yoyote; yaani niweke kwa lugha nyingine, ni kuwa Uhuru unewafanya wachukua nafasi zilizokuwa za makaburu automatically. Ni kutokana na dhana hiyo ndiyo maana wanawachukia watu waliotoka nchi za je na kupata kazi nzuri hapo SA bila kuangalia kuwa ni kwa nini hawa wakuja wanapewa kazi huku wao a kuzaliwa wakirukwa. Tatizo hili pia lipo kwa baadhi ya ndugu zetu waamerika weusi, na wamekuwa wanachukia watu weusi hasa wale wa Jamaika, Haiti na Afrika kwa kisingizio hicho hicho kuwa wanapoingia USA huwa wanachukulia opportunities zao.
acha kurahisisha mambo wewe, unaelewa na unachokisema au unaandika tuu.... hivi kwa unafikiri matatizo ya AK au huko marekani yanatokana nna hayo uliyoyandika? hivi kweli hivi ndivyo unavyoweza kuelezea jambo gumu kama hilo kwa kifupi hivyo? ni rahisi hivyo?..........
Hali ya South Africa Inatisha sana. Kuna wasiwasi kuwa SA itapitia njia ile ile ya Zimbabwe pamoja na wao kubadilisha viongozi. Tatizo la Afrika ya Kusini linatokana na attitude za watu wengi kudhani kuwa Uhuru ungewafanya waishi kama makaburu bila kufanya kazi yoyote; yaani niweke kwa lugha nyingine, ni kuwa Uhuru unewafanya wachukua nafasi zilizokuwa za makaburu automatically. Ni kutokana na dhana hiyo ndiyo maana wanawachukia watu waliotoka nchi za je na kupata kazi nzuri hapo SA bila kuangalia kuwa ni kwa nini hawa wakuja wanapewa kazi huku wao a kuzaliwa wakirukwa. Tatizo hili pia lipo kwa baadhi ya ndugu zetu waamerika weusi, na wamekuwa wanachukia watu weusi hasa wale wa Jamaika, Haiti na Afrika kwa kisingizio hicho hicho kuwa wanapoingia USA huwa wanachukulia opportunities zao.
acha kurahisisha mambo wewe, unaelewa na unachokisema au unaandika tuu.... hivi kwa unafikiri matatizo ya AK au huko marekani yanatokana nna hayo uliyoyandika? hivi kweli hivi ndivyo unavyoweza kuelezea jambo gumu kama hilo kwa kifupi hivyo? ni rahisi hivyo?..........
Hivi mnajua kuwa Zuma hajui kuandika wala kusoma, ila anajua kumwaga sahihi tu. Kazi ipo pale kweli kweli
Hivi mnajua kuwa Zuma hajui kuandika wala kusoma, ila anajua kumwaga sahihi tu. Kazi ipo pale kweli kweli
I'm really conflicted; ni kipi bora,
a. Kuacha Kamati ya Chama imuondoe Rais aliyependekezwa na Bunge
b. Kuacha Bunge limpigie kura ya kutokuwa na imani naye
c. KUacha amalize muda wake wa kikatiba ili mtu mwingine aweze kuingia madarakani.
Kesi mbili ni za mfano: Kesi ya Musharraf wiki chache zilizopita na kesi ya Mbeki. Katika yote mawili ni nani anaibuka mshindi?
a. Je Pakistan (ukizingatia habari za leo) is better off kuliko wakati wa Musharraf? Je mjane wa Benazir ataweza kweli kuisimamia Pakistani hivyo?
b. Je mrithi wa Mbeki (japo kwa muda mrefu) atalleta kitu gani kipya kwenye uongozi?
Nina wasiwasi kuwa bado hatujaweza kuweka suala zima la mfumo mzuri wa utawala na kuwajibishana kuwa ni msingi wa utawala bora wa nchi na maendeleo yake. On the other hand je kuwa na utaratibu wa "kuitisha uchaguzi wa mapema" ili kuziba nafasi ni mtindo mzuri wa kuwa na serikali inayofanya kazi. Mfano mzuri ni Israeli.
Hivi mnajua kuwa Zuma hajui kuandika wala kusoma, ila anajua kumwaga sahihi tu. Kazi ipo pale kweli kweli
Mbeki ni serious thinker, ametawaliwa na sifa za usomi. Zuma ni mtu wa watu wa hali ya chini, kujichanganya kwake na wenyeji kunamfanya akubalike vema miongoni mwa laymen na watu wa chini. Lakini hizi ndo sifa za kiongozi bora? Watu wetambao hawana upeo wa kumchagua kiongozi bora, wanajuaje kiongozi bora? Je kiongozi bora ni yule anayecheka cheka tu na watu?
PLSE tuangalie haya, tuache ushabiki kwanza.
hilo la kutokujua kusoma na kuandika na kujua kuweka sahihi si siri, uliza wasauzi waliko kwenye ANC na serikalini wanalijua hilo
hilo la kutokujua kusoma na kuandika na kujua kuweka sahihi si siri, uliza wasauzi waliko kwenye ANC na serikalini wanalijua hilo
Niliwahi kusema na leo najiuliza,
1-Je, tunaunganisha vipi na mambo yanayoendelea hapa nyumbani?
2-Je, yanayotokea Afrika Kusini yana uhusiano wowote na ziara ya Zuma Tanzania hivi karibuni?
3-Je, Tanzania tunaye Zuma wetu atakayemuondoa JK madarakani?
Maswali hayo yanatokana na tetesi nilizozigusia wakati katika ile mada ya Kubenea v/s Lowassa
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/17756-kubenea-vs-lowasa-12.html#post284754