BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
...duh, mmeamua kumpa live! kweli tupu hayo uliyosema, 'akimroga' huyo, wengine wataziba pengo, kwa kifupi demu hafai!!!
Kabisaa, inabidi ajue kwanini mpenzi wake anamegwa maana ni kwa hiari siyo kama kubakwa!..Kwahiyo hapo ni kubwaga manyanga tu na kuangalia usawa wake mbele ila kwa huyo dada presha zitapanda na kushuka tu kila mara!..
Bora akapange chumba kingine, hicho naona kina wapangaji wengi!..Hapakaliki!