Bonnie1974
JF-Expert Member
- Mar 19, 2008
- 407
- 16
MkuluMzee mi nakushauri unitafute umzibe mkeo jamaa akipanda anakuta pamezibwa au tuwagandishe kabisa....lakini wakigandana ishu itakuwa kubwa mpaka mtaani watu watajua jamaa jamaa kaganda na mkeo alafu itakushushia heshima...
Kama vp mpige juju huyo mmbaya wako....weka software kwa mkeo iwe ina detect yako tu.
Kweli , nimesikia hiyo software ipo.
Baadhi ya akina mama wanaitumia hiyo software, lakini ni ile version ya kiume kulinda computer zao.
Mzee unawasha computer vizuri ukitaka kulog in hakuna mawasiliano kati ya main server na computer.
Matokeo yake mzee mzima kashfa,vimeo vyetu vya uswahilini si unavijua tena lazima vipake sana.
HUWEZIII...SASA JE..