Mpitagwa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2012
- 2,339
- 1,119
Kikwete amemteua mbatia aende bungeni akafanye kazi maalum ya kuharibu upinzani. Wabunge vijana wa NCCR mageuzi walikuwa wanafanya kazi nzuri kama wabunge waupinzani na walishaanza kujenga mahusiano mazuri na CHADEMA. Kwakuwa mbatia ni mtu maalum na anakazi maalum imebidi kikwete ampe ubunge maalum ili akafanye kazi maalum bungeni. Tusubiri tutaona maneno yake na msimamo wake kama hautatofautiana na vijana wachapakazi wa Kigoma.