Sawa Bwana,sijui mwenzetu unaishi nchi gani usiyekuwa na taarifa ya hali ilivyo TanzaniaKatikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana! Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!! Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!! Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi!!
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!! Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!!! Hakuna namna ya kutuingizia hofu!!! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Alitaka hadi afe yeye ndo aone kuna vifo..!!Kwani hujaona vifo
Acha ujinga.. Ulitaka TUFE WOTE ndo uamini kuwa kuna korona?Uongo haukusaidii!!! Mheshimiwa alifariki kwa tatizo la moyo alilokuwa nalo kwa muda mrefu!!! Wewe kuwa ni mzima ni ushahidi tosha kuwa hakuna corona Mungu alituponya ! Kama wewe unaitaka itakuja kwako na kwa familia yako!! Mkitaka kujua corona ilivyo waulizeni India, au Italia au Brazil!! Mbatia kalewa tip ya mabeberu tu anakuja kutishia watu hapa na corona hewa!!
Itoshe tu kukwambia nakuhurumia sanaNiambie ni siku ipi katika historia ya Tanzania ilipita siku bila kuwa na msiba wowote Tanzania?? Misiba iliyopo ni ya kawaida na imekuwepo siku zote!!! Ndio maana watu wamegoma kulazimishwa mambo ya barakoa!! Maisha yanaendelea kama kawaida, wewe hauoni? Hata hao viongozi wa siri-kali wanaishi miongoni mwetu!! Wanavaa barakoa tu wanapokuwa mbele ya kamera!! Ndiyo maana mbio za mwenge hazijasitishwa japo zinakusanya maelfu!! Corona inatafutwa kwa tochi na kubambikizia vifo kuwa ni ya corona!!
Kwahiyo wewe huko uishiko hamna hivi vifo?Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!
Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!
Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!
Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!
Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!
Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Hilo unajua wewe unakoishi,mimi nazungumzia mtaani kwetuHuko mitaani unaishi peke yako? Na sisi tunaishi mtaani huko huko!! Maisha ni ya kawaida na vifo ni kama ilivyo tangu zama na zama!! Hakuna cha ziada!!
Wanaugua piaOk na vp kuhusu watu kuuguwa huko majumbani? maana watu kufa sana ina maana ya kuwepo maambukizi mengi sana na hivyo watu wengi hupata maambukizi na kuuguwa.
Wewe utakuwa mwendawazimu. Tangu corona iingie, kuna wakati wowote iliwahi kutokeavifo vya korona zaidi ya 500 kwa wiki, yaani vifo 73 kwa siku. Ilishawahi kutokea Tanzania kuongoza kwa vifo katika bara zima la Afrika.Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!
Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!
Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!
Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!
Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!
Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Vifo vipo vingi sana vya Corona,na hapa sizungumzii hivi vinavyotangazwa kwenye tv wala mitandao,ni huku mtaani tunakoishi
Ok kwahiyo watu wanauguzana corona majumbani na hadi kufia huko huko, hiyo ni hatari sana.Wanaugua pia
Hivyo hivyo vifo vya maradhi mengine unavyovisikia ndio hivyo hivyo vinahesabika ni vya corona au tuseme vimesababishwa na corona ndio husikii vifo vya corona, kuhusu kujazana kwenye mabasi ni kwamba bongo maambukizi ya corona husababisha vifo tu kwa sana ila haifanyi hospitali kuelemewa wagonjwa.Mtaa gani mkuu? Mimi sijawahi kuona mgonjwa wa corona wala kusikia kifo zaidi tu nasoma mitandaoni kama hivi, tunavyojazana kwenye mabasi vile halafu uniambie kuna COVID bongo?
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!
Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!
Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!
Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!
Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!
Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
mpaka afe mama yake ndio ataelewaKwani hujaona vifo
Wewe! Eti unasema watanzania tupo salama salimini! Unaishi Burundi au wapi? Watu wanakufa sana kwa corona umetembelea mahospitali?Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!
Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!
Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!
Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!
Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!
Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Ukimwi umeaua watu wangapi, Cancer imeua watu wangapi, Kifua kikuu kimeua watu wangapi? Ajali zimeua watu wangapi? Hujiulizi kwanini Corona?Fara kabisa. Unaleta siasa kwenye maisha ya watu. Covid imeua zaidi ya milioni 4 duniani mpaka sasa.
Weka data acha kubwabwaja jama kibajaji wa Metra!Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!
Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!
Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!
Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!
Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!
Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Nchi hii iko na wazandiki wengi mno. Mbatia mmoja wao.Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!
Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!
Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!
Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!
Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!
Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
We ndo mwendawazimu..Hana nchi nenda nchi nyingine hukoWewe utakuwa mwendawazimu. Tangu corona iingie, kuna wakati wowote iliwahi kutokeavifo vya korona zaidi ya 500 kwa wiki, yaani vifo 73 kwa siku. Ilishawahi kutokea Tanzania kuongoza kwa vifo katika bara zima la Afrika.
Hivi unajua kuwa kwa sasa, Tanzania ni ya 3 kwa vifo vya corona Duniani?