Mbatia na unabii wako wa kishetani umegonga mwamba

Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana! Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!! Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!! Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi!!
Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!! Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!!! Hakuna namna ya kutuingizia hofu!!! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Sawa Bwana,sijui mwenzetu unaishi nchi gani usiyekuwa na taarifa ya hali ilivyo Tanzania
 
Uongo haukusaidii!!! Mheshimiwa alifariki kwa tatizo la moyo alilokuwa nalo kwa muda mrefu!!! Wewe kuwa ni mzima ni ushahidi tosha kuwa hakuna corona Mungu alituponya ! Kama wewe unaitaka itakuja kwako na kwa familia yako!! Mkitaka kujua corona ilivyo waulizeni India, au Italia au Brazil!! Mbatia kalewa tip ya mabeberu tu anakuja kutishia watu hapa na corona hewa!!
Acha ujinga.. Ulitaka TUFE WOTE ndo uamini kuwa kuna korona?
 
Niambie ni siku ipi katika historia ya Tanzania ilipita siku bila kuwa na msiba wowote Tanzania?? Misiba iliyopo ni ya kawaida na imekuwepo siku zote!!! Ndio maana watu wamegoma kulazimishwa mambo ya barakoa!! Maisha yanaendelea kama kawaida, wewe hauoni? Hata hao viongozi wa siri-kali wanaishi miongoni mwetu!! Wanavaa barakoa tu wanapokuwa mbele ya kamera!! Ndiyo maana mbio za mwenge hazijasitishwa japo zinakusanya maelfu!! Corona inatafutwa kwa tochi na kubambikizia vifo kuwa ni ya corona!!
Itoshe tu kukwambia nakuhurumia sana
 
Huyu Mbatia muache tu na umsamehe bure na Mungu atakukipa maana akiwa hajameza dawa zake huwa anajisahau hata jinsia yake.
 
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!

Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!

Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!

Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.

Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!

Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!

Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Kwahiyo wewe huko uishiko hamna hivi vifo?
 
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!

Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!

Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!

Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.

Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!

Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!

Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Wewe utakuwa mwendawazimu. Tangu corona iingie, kuna wakati wowote iliwahi kutokeavifo vya korona zaidi ya 500 kwa wiki, yaani vifo 73 kwa siku. Ilishawahi kutokea Tanzania kuongoza kwa vifo katika bara zima la Afrika.

Hivi unajua kuwa kwa sasa, Tanzania ni ya 3 kwa vifo vya corona Duniani?
 
Vifo vipo vingi sana vya Corona,na hapa sizungumzii hivi vinavyotangazwa kwenye tv wala mitandao,ni huku mtaani tunakoishi

Mtaa gani mkuu? Mimi sijawahi kuona mgonjwa wa corona wala kusikia kifo zaidi tu nasoma mitandaoni kama hivi, tunavyojazana kwenye mabasi vile halafu uniambie kuna COVID bongo?
 
Mtaa gani mkuu? Mimi sijawahi kuona mgonjwa wa corona wala kusikia kifo zaidi tu nasoma mitandaoni kama hivi, tunavyojazana kwenye mabasi vile halafu uniambie kuna COVID bongo?
Hivyo hivyo vifo vya maradhi mengine unavyovisikia ndio hivyo hivyo vinahesabika ni vya corona au tuseme vimesababishwa na corona ndio husikii vifo vya corona, kuhusu kujazana kwenye mabasi ni kwamba bongo maambukizi ya corona husababisha vifo tu kwa sana ila haifanyi hospitali kuelemewa wagonjwa.
 
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!

Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!

Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!

Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.

Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!

Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!

Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!

Umeandika kuonyesha upumbavu wako
 
Huyu nae so afungue kanisa ,tumuita mtume na na nabiii mbatia!,naona Sasa ameamua achunge kondoo !
 
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!

Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!

Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!

Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.

Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!

Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!

Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Wewe! Eti unasema watanzania tupo salama salimini! Unaishi Burundi au wapi? Watu wanakufa sana kwa corona umetembelea mahospitali?
 
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!

Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!

Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!

Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.

Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!

Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!

Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Weka data acha kubwabwaja jama kibajaji wa Metra!
 
Katikati ya mwezi uliopita Mbatia alijitokeza kwenye vyombo vya habari (mwanahalisi tv online) akasema baada ya wiki mbili kutakuwa na vifo vingi sana vya corona nchini kwetu katika namna ambayo haijawahi kutokea na hospitali zitazidiwa sana!

Ni janga kubwa!! Wee mbatia wewe!! yaani unaamua kuwa dalali wa mabeberu ili wapige pesa ya chanjo kichaa isiyoweza kumkinga mchanjwaji na maambukizi mapya!!

Hata kama una njaa ndo unaamua kuja na mkwara wa kutaka kutuingizia hofu!! Nilikupinga na kama una ubavu nenda tana mwanahalisi tv online ukarudie maneno yale yale!!

Acha wiki mbili, karibuni mwezi mzima unapita watanzania tupo salama salimini!! Vifo vilivyopo ni vya kawaida na hakuna maiti zilizozagaa wala hakuna taharuku yoyote na hakuna hospitali iliyozidiwa!! Wagonjwa wa corona mnaendelea kuwatafuta kwa tochi.

Tuambie Mbatia umefaidika nini kuwa na nabii wa Ibilisi kuhusu corona?? Manabii wa mauti kuhusu Tanzania waliokutangulia waligonga mwamba, na wewe umegonga mwamba na wajao watagonga mwamba!

Kwa taarifa yako maombi ya watanzania wacha Mungu ya mwaka 2020 hayaja-expire!! Na tunazidi kumwomba Mungu!! Timu ibilisi mtasubiri sana!

Hakuna namna ya kutuingizia hofu! Waambieni wanaowatuma kuwa Mungu wa Tanzania yuko macho!!
Nchi hii iko na wazandiki wengi mno. Mbatia mmoja wao.
 
Wewe utakuwa mwendawazimu. Tangu corona iingie, kuna wakati wowote iliwahi kutokeavifo vya korona zaidi ya 500 kwa wiki, yaani vifo 73 kwa siku. Ilishawahi kutokea Tanzania kuongoza kwa vifo katika bara zima la Afrika.

Hivi unajua kuwa kwa sasa, Tanzania ni ya 3 kwa vifo vya corona Duniani?
We ndo mwendawazimu..Hana nchi nenda nchi nyingine huko
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom