mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,767
- 1,068
Mbona kawambwa alipotakiwa na mbatia ampe alishindwa?Magamba mnayo kazi.
tumia akili. mtaala ni maandishi siyo vitu halisi. instructional materials (learning / teaching aids) hutajwa kwenye mitaala. tofautisha mambo mawili. acha hoja za kitoto. mitaala ipo. kupungua au kukosekana kwa vifaa vya kufundishia mashuleni hilo ni suala lingine. tumia ubongo acha uvivu dogo.