wajingawatu
JF-Expert Member
- Jan 20, 2013
- 2,051
- 2,462
Mbatia, ajiuzulu? Ili iweje? Kwa era hii ya ufisadi ni Lowasa tu ndiye aliyekubali ujinga huo.
bado Mbatia yuko sahihi; muda aliotaka Mtaala wa Elimu uwasilishwe Bungeni aukuonekana; kwa maana haukuwepo kabisa tangu awali; sasa huu uliowasilishwa juzi kuna uwezekano mkubwa umeandaliwa fastafasta ili kuliondolewa Taifa aibu.
MBATIA aliapa bungeni kwamba Waziri wa Elimu atakapowakilishwa mtaala wa elimu atajiuzulu ubunge kwani haupo tangu tupate uhuru.
Mtaala wa elimu umewakilishwa na kuundiwa Tume ya wabunge 6 itakayodhibitisha mtaala huo chini ya mama Magreth Sitta.
Tugemee nini kama itathibitishwa kwamba mtaala huo upo???
My Take:
Nilimsikia MBATIA kwa kinywa chake akitoa ahidi na kuapa kupitia TBC live kutoka bungeni kwamba ataachia ngazi.
Mdomo nyumba ya maneno. Huwezi kuisukuma gari ukiwa ndani ya gari.
Mbatia hilo unalo timiza ahadi yako endapo itathibitishwa kwamba ulilidanganya bunge na Watanzania. Kama atagoma kujiuzulu basi bunge litumie busara kumfukuza ubunge ili ahadi yake itimie.
MBATIA aliapa bungeni kwamba Waziri wa Elimu atakapowakilishwa mtaala wa elimu atajiuzulu ubunge kwani haupo tangu tupate uhuru.
Mtaala wa elimu umewakilishwa na kuundiwa Tume ya wabunge 6 itakayodhibitisha mtaala huo chini ya mama Magreth Sitta.
Tugemee nini kama itathibitishwa kwamba mtaala huo upo???
My Take:
Nilimsikia MBATIA kwa kinywa chake akitoa ahidi na kuapa kupitia TBC live kutoka bungeni kwamba ataachia ngazi.
Mdomo nyumba ya maneno. Huwezi kuisukuma gari ukiwa ndani ya gari.
Mbatia hilo unalo timiza ahadi yako endapo itathibitishwa kwamba ulilidanganya bunge na Watanzania. Kama atagoma kujiuzulu basi bunge litumie busara kumfukuza ubunge ili ahadi yake itimie.
Someni makala ya dr. Mkumbo gazeti la raia mwema la leo muone tanzania ilivyo na viongozi uchwara. Waziri kawambwa ni kilaza,wabunge pia ni vilaza tu. Suala hili kwetu sisi wataalam ni dogo sana lakini limekuzwa na ukilaza na uvivu wa kufikiri wa wabunge na wafanya kazi wa wizara ya elimu. NASISITIZA KWAMBA TANZANIA HAKUNA DOCUMENTS ZINAZOITWA MITAALA. Kama kuna kitu kilichoandikwa juu yake mtaala either wa shule ya msingi au secondary kilichopelekwa bungeni,ninasikitika kuona kwamba wataalam wa mitaala wanalipotosha taifa. mbatia alipaswa kupewa elimu kuhusu maana ya mitaala
Bunge alinamamlaka ya kumvua ubunge.Pili ni mpaka Mh Mbatia alizike na mtaala uliyowasilishwa.na kama aliziki nao je nani wa kujiuzulu.SWALI kwanini waziri alipouwasilisha bungeni unachunguzwa kwanini wangeuweka wazi kijulikane kilichomo kabla ya usanii unaofanyika sasa.
MBATIA aliapa bungeni kwamba Waziri wa Elimu atakapowakilishwa mtaala wa elimu atajiuzulu ubunge kwani haupo tangu tupate uhuru.
Mtaala wa elimu umewakilishwa na kuundiwa Tume ya wabunge 6 itakayodhibitisha mtaala huo chini ya mama Magreth Sitta.
Tugemee nini kama itathibitishwa kwamba mtaala huo upo???
My Take:
Nilimsikia MBATIA kwa kinywa chake akitoa ahidi na kuapa kupitia TBC live kutoka bungeni kwamba ataachia ngazi.
Mdomo nyumba ya maneno. Huwezi kuisukuma gari ukiwa ndani ya gari.
Mbatia hilo unalo timiza ahadi yako endapo itathibitishwa kwamba ulilidanganya bunge na Watanzania. Kama atagoma kujiuzulu basi bunge litumie busara kumfukuza ubunge ili ahadi yake itimie.
Hongera sana mbatia! Umefanya watu watunge mtaala kwa wiki na kufanya uchakachuzi!
Mbona ameongea na vyombo vya habari hii jioni anasema kuwa mitaala iliyoletwa sio?