Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,943
- 25,283
Mbatia wewe si "mwenzetu" ? tusipangiane majukumu, hata wale waliochukua hela za Escrow Stanbic kwenye sandarusi waliwahi kutangazwa ? Muache mama aendelee kuijenga mama Tanzania !🤸🤣🐒Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi James Mbatia ameitaka serikali kutaja hadharani majina ya waliofisadi mabilioni ya fedha za benki kuu yaliyotajwa katika ripoti ya CAG.
Mbatia amesema kuwasimamisha maofisa wachache wa wizara ya fedha waliogawana fedha hizo kama posho haitoshi, wale ni dagaa tu tunataka papa watajwe hadharani.
Source: ITV habari!