Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Juzi kweny FWC ndio nilishindwa jizuia kuwa nakumkubali huyu masta.
Aiseee
Wakati anafunga goli la kwanza kipindi cha pili aise nilipata furaha na mtetemeko wa ajabu.

Itoshe kusema Mbappe ndie aliyenifanya niangalie mpira😂😂

😘😘😘
Tumfate UEFA- PSG

Me nitawasaliti Real Madrid na Chesii

Kamq siku watakuwa mechi 1

Mbappe mcute
Sema ndo vileeeee ni Kibenten 🤣🤣
 
Kuna Demu nilikuaga nampenda sana wakati nipo Advance Level, ila yeye akawa chenga sana.

Basi nikaingia FB nikafungua akaunti ya kidemu , nikaaanza kupost picha za Demu fulan mkaliiii kweli .


Baada kama wiki, nikamfata Inbobo yule Demu nlokua namtafuta nikawa ninajifanya.


Weee mshenzi nianchie Bwanangu, wanaume wamekukosa mpaka ujishobokeshe, mwanaume wangu hakupendiii na hawez kua na mwanamke kama weeee, una Kwa mfano ??.

Na mablaa blaaah mengi.


Yule Manzi, akajawa na hasira za mkidhi , basi Akanitafuta Et anasemaje

"Yaan G mwambie Demu wako kua Sasa nitatembea Nawewe, na Leo nakuleteaaa ".


Kama masihara Demu, alikujaga mida ya saa kumi jion, nikala Mzigo 🤣🤣🤣
Tokea asubuhi ndio nacheka muda huu. Duu kweli wewe Ni mhuni kitambo una mbinu za kimedani Ni asli yako nimekunyooshea mikono the jackal hii Ni ya mbususu nadhani. Eti mwambie Leo nakuletea yaani anaileta ili tu amkomeshe huyo demu wako. Yaani angekuja kujua nadhani angekukubali kinyama ujue.
 
Unamaana gan🤣🤣🤣

Kwahiyo sisi ni wasindikizaji au
Kilichotuvutiaaa zaidi ni ule uactiveee wa ishu yakeeee...kijana yupooooo vereeeee😅😅😅😅..mtusamehee tu jamani tumeshindwaa kujizuiaaa
 
Kilichotuvutiaaa zaidi ni ule uactiveee wa ishu yakeeee...kijana yupooooo vereeeee😅😅😅😅..mtusamehee tu jamani tumeshindwaa kujizuiaaa
Hahahaha huo active , kitandan usikute ni mwingine.

Ulishawah Tiana na mchizi, alafu ukajuta why umetiana ??.


Njooo Kwa wasukuma, tunakula manumbu na maziwa 🤣🤣🤣

Weeeeeee
 
Mfano mbape ndo huyo hapo amekuja bongo, umekutana naye uso kwa uso, sehemu mazingira yanaruhusu, utafanyaje Ili kumtongoza Ajue unamtaka kimapenzi Demi Chakorii
Huleti papara nae kabisa.kwanza unaanza kuielezea mara ya kwanza kupanda ndege katika umri wa 11yrs kwenda kuichezea Sijui chelsea ya watoto ile,Bayern Munich na nyinginezo..

Namvuta,,namvuta tena stori zetu hapo sahiyo ni mpira tu😂😂nikishaanza nae lazima tutakuwa na majibuzano tu..nitakuwa nimepata pakuanzia

Yatakayoendelea huko sitokuhadithia.

Kwa mfano
 
Tokea asubuhi ndio nacheka muda huu. Duu kweli wewe Ni mhuni kitambo una mbinu za kimedani Ni asli yako nimekunyooshea mikono the jackal hii Ni ya mbususu nadhani. Eti mwambie Leo nakuletea yaani anaileta ili tu amkomeshe huyo demu wako. Yaani angekuja kujua nadhani angekukubali kinyama ujue.
🤣🤣🤣 Eehh akajua anamkomoaa , kumbeee ni mbinu tu za kivita .
 
Huleti papara nae kabisa.kwanza unaanza kuielezea mara ya kwanza kupanda ndege katika umri wa 11yrs kwenda kuichezea Sijui chelsea ya watoto ile,Bayern Munich na nyinginezo..

Namvuta,,namvuta tena stori zetu hapo sahiyo ni mpira tu😂😂nikishaanza nae lazima tutakuwa na majibuzano tu..nitakuwa nimepata pakuanzia

Yatakayoendelea huko sitokuhadithia.

Kwa mfano
Unamla kimasihara sio?🤣
 
Ila PSG basi tu, huku Neymar, huku Messi kule Mbappe. Alooooh!!!
 
Back
Top Bottom