Unanipiga na mashambulizi makubwaaa makubwa ,,watumia silaha za Mrusi au? 🤣.Poleee jamaniii😂😂
Ila mkuu wewe ukiwa rafiki yangu nitakuomba usije ukapita na mke wangu. Ama naoa mbaya wa mvuto Ila tangiapo wife mie Ni wa kawaida mno🤣🤣🤣 Eehh akajua anamkomoaa , kumbeee ni mbinu tu za kivita .
Ewaaaa mambo ndo yalivyo , ukikaa naye kwenye Sofa, Mara kakuchokoza, Mara kaja kukalia Kwa juu mapajani 🤣🤣Hebu ngoja kwanza 😂
Mjinga anachanganya ubongo yule
Dah mwana inaezekana, jina lake linaanza na M?Sijui ndio huyohuyo au vipi ,maana mimi kuna manzi nina namba yake tokea jana hadi leo status za makopa kwa Mbappe na kumbe za mahaba mpk Dp kaweka ya Mbappe mpaka nahisi amekuwa kichaa tayari.
Mkuuu usijali ,Mke wa Rafiki ni sawa na Mke wa Kaka.!!🤣🤣Ila mkuu wewe ukiwa rafiki yangu nitakuomba usije ukapita na mke wangu. Ama naoa mbaya wa mvuto Ila tangiapo wife mie Ni wa kawaida mno
Hamtutaki sisi WapoleWe phalla umeniwahi.
Kwa kifupi ukiwa na mpenzi mwenye utani mwingi, yuko huru kwako unataka nini zaidi?
Hata mwanaume ukiwa na viutani vingi vyenya mipaka ni rahisi kuwateka hawa wadudu
Mimi sipendi msichana aliyepooza kama mlenda.
Napenda changamoto, utani nk.
Hapa jf kuna wadada wajanja wa janja sana na ukiangalia wana followers wengi sana.
Sababu kubwa ni mvuto kupitia utani

Upole uliopitiliza noo😂😂😂Hamtutaki sisi Wapole![]()
😂😂Poleni jamani tupooo pamojaaa...Ila kwaa ishuu ya Mbappe tumeshindwaa kujizuiaaa...na sisi tunapendaa vitu vizuriiiii..Unanipiga na mashambulizi makubwaaa makubwa ,,watumia silaha za Mrusi au? 🤣.
Tuoneane huruma jaman, Sie ndo Waume zenu hapahapa Tanzania yetu
Nitakuachia huyo niliyekuja nae huko Chemba mimi nitakuwa nje nakusubiriNjoo naye mkifika namwambie atupishe niongee nawe chemba kwanza ndio utajua hujui🤣
❤Daa,anachombo mpaka jezi imegoma kukaa.😘Hebu angalia jamani
Hata wangekuwa wao ni sisi wangefanyaje hapa?View attachment 2452499
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hahaha huu msitu ukiuingia hutoki salama😅Nitakuachia huyo niliyekuja nae huko Chemba mimi nitakuwa nje nakusubiri
Mi nampenda anacheza vizuri ila nilikuwa for MessiJinsi Mbappe alivyopambana,tulivyopoteza kwenye zile penalt nililia.
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Nikweli mwapenda vizuri ,ila mvipende kimoyomoyo ,Sasa nyie Leo mnatufanyia unyanyasaji wa kijisinsia ulochanganyana na kisaikolojia khaaaa.😂😂Poleni jamani tupooo pamojaaa...Ila kwaa ishuu ya Mbappe tumeshindwaa kujizuiaaa...na sisi tunapendaa vitu vizuriiiii..
EwaaaKapenda lile tabasamu la mbappe lenye dharau kidogo kwa mbali
Ilikuwaje adinde vile?🤣🤣Hebu angalia jamani
Hata wangekuwa wao ni sisi wangefanyaje hapa?View attachment 2452499
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hadi ndani mpole?Hamtutaki sisi Wapole![]()
Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
![]()


jamani babee mbape amtunze tena
Hadi ndani mpole?Hamtutaki sisi Wapole![]()