We jamaa unatumia picha ya mkeo kupata michepukoOyooooooo, Jibu hili hapa, Tena Jibu sahihi lisilo na maruwe ruwe !!.
Mimi nimeoa Mke wangu mzurii kwelikweli ,mtoto white, figaaa ni marhabaaa.
Huwa nikitongoza mchepuko, mchepuko akawa ananizungusha , naanza kumpost Wife na wanangu wasap.
Yule manzi akiona picha ya mke wangu , anaanza, Ohoooo jamaan unamke mzuri Ivo...she is beautiful..Mara ,ohoooo kwangu unataka nn?? Kipi mkeo Hana mie nacho??.
Najua tayariiiii ng'ombe kajitanguliza kibra !!.
Nakubaliana Nawewe Authority 100%
Si ndo hapo sasa..Na ukipewa, usichunguze, wee safisha rungu
Samahani namie demu wangu atakuwa. Mie huwa nakataa kabisa kuhusu demu anayekuomba pesa. Yaani nikiombwa tu najua sipendwi. Kama napendwa ili nioe sipendwi. Demu akikupatia k kisa umemuahidi kumuoa huyo hajakupenda. Wanaopendwa wanapewa unconditionally. That's what I believe and it's true. Demu naye Ni mtu huwa Ana hisia. Sema Kama hakupendi atakuambia hudumia wanaohudumia ndio wanaokulaga Mara wenye kisu yaani Ni ilimradi wao wahalalishe wewe utoe hela. Nikuulize tu kwani anaopendana nao akiwemo ndugu zake na wazazi wake mpaka wampe hela. Na wewe Ni binadamu Kama hao ndugu zake. Yaani nikipewa namba nikiombwa hata vocha mafuta namba. Namuita namuiliza aseme Ni Bei gani ili tumalizane kabisa najua nimeuziwa Basi yaisheUkweli mchungu *****.
Wewe hapo unaniogopa, si nakuitaga unakula kona? Mjanja nyuma ya keyboard😂Nani anakuogopa hebu nisimulie vzr
Nakuonea huruma maana vinachangamoto mfano hakuna 😂😂Kwa utani wangu nina matukio mengi sana ya kuchekesha🤣🤣
Machache;
1. Kuna NGO moja ya kidini tawi la WV mkurugenzi wake ni mchungaji flani matata sana na anaogopwa mnoo na wafanyakazi. Hiyo ofisi ina mabinti kwa 90% lkn hawako huru akiwwpo huyo mkurugenzi.
Mra nyingi
Kumbe demu mfupi?🤣🤣🤣🤣
Yaani short chassis🤣🤣letee
Na wew tafuta demu mkal anyecheza mpira/ Kuimba half kila cku mpost kwa caption ya my princess 😄Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Bila shaka pia kwenye status yake ya Whatsapp amemuwish Mbappe Happy birthdayHabari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Jmn shortiii akikupenda aaah acha kabisa🤣Nakuonea huruma maana vinachangamoto mfano hakuna 😂😂
Mkuu wangu hata Usiwe serious !!We jamaa unatumia picha ya mkeo kupata michepuko
Yaani demu ukiwa na status akiwa na wewe naye anajisikia kuwa sehemu ya Ile status. Ni sawa ukilala naye na wewe unajisikia umemla mwili wake upo ndani yako so umekuwa sehemu ya mwili wake ama umeuchukua unao ndani yako. Na ndio anayekupenda ukimvalia gandom mnakuwa maadui kinyama anapenda umpe mwili wako uote ndani yake. Jamani Kuna real love sema wanajifanya kuwa pesa umasikini unaharibu realityWanawake mlivyo mamaeee, hapo unaanza linganisha hizo goli anazofunga, ndo zingekua bao anazotupia kitandan upo naye
Hahahahaha weeeeeeeeeee🤣🤣
Wanajua kudeka hao🤣🤣🤣🤣Jmn shortiii akikupenda aaah acha kabisa🤣
Cha kufanya,
Na wewe Anza kucheza mpira na ufunge magoli mengi akama mbappe ili muende sawa usije ukaachwa mkuu![]()






nimecheka had machozi.
Sasa awe mhaya na mnyiramba sasa🤣🤣🤣Wanajua kudeka hao🤣🤣🤣🤣
Wala...you know meUnacheka lkn umeingea kwa hasira🤣🤣
Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
![]()








