Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Haha huna baya mtu wanguWala...you know me
Haha huna baya mtu wanguWala...you know me
Ni sawa ukaoa mzungu ukaishi naye bongo hizi black pusssies zitakuwa zinajileta zenyewe automatically. Umeongea ukweli. Nishawahi Kodi demu fulani lengo lilikuwa Ni kumteka mwingine.nilimpatia mkanda mzima. Akawa Kama gf wangu muda wote mahaba yule akaingia kingMkuu wangu hata Usiwe serious !!
Mfano, wewe ndio mchepuko, Mimi nimpost wife, utajua dhumun la mm kumpost ?.
🤣🤣🤣... Wanawake Huwa mko kwenye competition siku zote ....
Na ukweli nikua, Huwa mnakawaida ya kujilinganisha .
Mnapoona mwanaume Yuko na Mwanamke mkaliiiiii kwelikweli, hapo ndo Huwa mnavutiwa zaidi nahuyo mwanaume.
Yaan "Mmhhhh inaonekana Carlos anakitu mpaka kuoa Mwanamke kama yule "...
Wanawake mnakawaida ya kuvutiwa na mwanaume ambaye ama anazungumzwa /Vutiwa vizuri na Wanawake tofauti tofauti au anatoka na mwanamke mzuriiiii.
Ni Asili tu !!
Haswaaaaah, ndevu utadhan ukoka wa viunga vya shule ya msingi maji matitu khaaaaaahMbappe nimemjua juzi kwenye mechi ya fainali. Anafaa kwa matumizi....mwambieni Messi anyoe ndevu zake vizuri









Kwakweli apigwe sanctions tu hakuna jinsi.Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
🤣🤣
Hana mvuto😏Haswaaaaah, ndevu utadhan ukoka wa viunga vya shule ya msingi maji matitu khaaaaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wangu anasumbuliwa na Mr been.kaweka profile picture View attachment 2452437








We mwangalie alivyo aww
Huyu akijaribu kunikiss kabla hajafikia lips nishazimia kitambo





khaaaaah!! Lapulga mbna havutiiii, tena utadhan lizee fulaan hivi ligangaaa la kienyeji,View attachment 2452445
Anavutia kweli ,wana michezo ,waigizaji wa Hollywood,Wacheza basket huwa wanavutia kutokana na miili yao ilivyo







Njoo naye mkifika namwambie atupishe niongee nawe chemba kwanza ndio utajua hujui🤣Nakuletea dem mfupi akili ikukae sawa
Anafaa kwa matumizi gani?Mbappe nimemjua juzi kwenye mechi ya fainali. Anafaa kwa matumizi....mwambieni Messi anyoe ndevu zake vizuri
Hii sijaipendaa, japo yuko vizurii.Kana mvuto bhanaView attachment 2452481
Watu wamevurugwaaaaa khaaaaah!!!Huyu hapa nimekata ujumbe nimeupunguza kidogo.View attachment 2452497
Nakufaaaa kwa kuchekaaaaaa, khaaaaaahNa wewe tafuta picha ya binti anayecheza yanga ama yule wa simba aliyekomaa komaa yule muweke status alaf weka vimaneno hapo pole bby wangu kwa mechi alaf subiria majibu
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app