Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Kwakutimiza 24yrs…😂😂Bila shaka pia kwenye status yake ya Whatsapp amemuwish Mbappe Happy birthday
Kwakutimiza 24yrs…😂😂Bila shaka pia kwenye status yake ya Whatsapp amemuwish Mbappe Happy birthday
Anafaa kwa matumizi gani?

Kuna Demu nilikuaga nampenda sana wakati nipo Advance Level, ila yeye akawa chenga sana.Ni sawa ukaoa mzungu ukaishi naye bongo hizi black pusssies zitakuwa zinajileta zenyewe automatically. Umeongea ukweli. Nishawahi Kodi demu fulani lengo lilikuwa Ni kumteka mwingine.nilimpatia mkanda mzima. Akawa Kama gf wangu muda wote mahaba yule akaingia king
Eti Carlos The Jackal unalizungumziaje hili?Jmn shortiii akikupenda aaah acha kabisa🤣
Imesahau..wanapenda mwanaumr mcharuko🤣🤣🤣Mkuu wangu hata Usiwe serious !!
Mfano, wewe ndio mchepuko, Mimi nimpost wife, utajua dhumun la mm kumpost ?.
🤣🤣🤣... Wanawake Huwa mko kwenye competition siku zote ....
Na ukweli nikua, Huwa mnakawaida ya kujilinganisha .
Mnapoona mwanaume Yuko na Mwanamke mkaliiiiii kwelikweli, hapo ndo Huwa mnavutiwa zaidi nahuyo mwanaume.
Yaan "Mmhhhh inaonekana Carlos anakitu mpaka kuoa Mwanamke kama yule "...
Wanawake mnakawaida ya kuvutiwa na mwanaume ambaye ama anazungumzwa /Vutiwa vizuri na Wanawake tofauti tofauti au anatoka na mwanamke mzuriiiii.
Ni Asili tu !!
Unamaana gan🤣🤣🤣Kwa kweli yule kijana ni everywoman dream kwa kweli he is hot🔥🔥🔥
Ila ana pesa atapendwa tu
Ndioooo ndiooooImesahau..wanapenda mwanaumr mcharuko🤣🤣🤣
Hawezi kunipinga akili yake naijua🤣Eti Carlos The Jackal unalizungumziaje hili?
Short woman ni wazuri, wanapenda kudeka na wadekezwe, ukiwa unatembea naye mtaan anapenda umshike 🤣🤣Eti Carlos The Jackal unalizungumziaje hili?
Wacha bhanaWanajua kudeka hao🤣🤣🤣🤣
Acheni tamaa mtaliwa mtungo
Weeee Huyo Mbappe na Neymar wallah me nawafata PSG 🤣🤣Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua
"Ohoooo Pole My Neymar"
"Jamaan Brazil why??"
Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.
Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa
"mbapeeee wanguuuu "
Na mbalaaa blaaaah.
Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.
Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .
Cha kufanya ??
Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...
Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!
🤣🤣
Ila demi hahahahhaHuyo unamrukia na kumla denda haihitaji maneno mengi kujieleza
Short chassis wanashukrani sana🤣🤣🤣🤣Short woman ni wazuri, wanapenda kudeka na wadekezwe, ukiwa unatembea naye mtaan anapenda umshike 🤣🤣
Ni wazuri kwakweli Sanaa tu!!.
Sasa bahari nzuri Akina Mbappe na Neymar, ndo sisi hapa tulonanyi Hapahapa.Weeee Huyo Mbappe na Neymar wallah me nawafata PSG 🤣🤣
Wekeni maskhara pembeni
Wajuba wana mvuto hao
Yan ni vile tu
Hatuna access
Tuacheni tuwapost
Me Mbappe yuko Wallpaper
Huyo ni kama mwanao achana na mtoto 😂