Mbappe kanitekea demu wangu

Mbappe kanitekea demu wangu

Anafaa kwa matumizi gani?
Screenshot_20221220-112101_Facebook.jpg
 
Ni sawa ukaoa mzungu ukaishi naye bongo hizi black pusssies zitakuwa zinajileta zenyewe automatically. Umeongea ukweli. Nishawahi Kodi demu fulani lengo lilikuwa Ni kumteka mwingine.nilimpatia mkanda mzima. Akawa Kama gf wangu muda wote mahaba yule akaingia king
Kuna Demu nilikuaga nampenda sana wakati nipo Advance Level, ila yeye akawa chenga sana.

Basi nikaingia FB nikafungua akaunti ya kidemu , nikaaanza kupost picha za Demu fulan mkaliiii kweli .


Baada kama wiki, nikamfata Inbobo yule Demu nlokua namtafuta nikawa ninajifanya.


Weee mshenzi nianchie Bwanangu, wanaume wamekukosa mpaka ujishobokeshe, mwanaume wangu hakupendiii na hawez kua na mwanamke kama weeee, una Kwa mfano ??.

Na mablaa blaaah mengi.


Yule Manzi, akajawa na hasira za mkidhi , basi Akanitafuta Et anasemaje

"Yaan G mwambie Demu wako kua Sasa nitatembea Nawewe, na Leo nakuleteaaa ".


Kama masihara Demu, alikujaga mida ya saa kumi jion, nikala Mzigo 🤣🤣🤣
 
Mkuu wangu hata Usiwe serious !!

Mfano, wewe ndio mchepuko, Mimi nimpost wife, utajua dhumun la mm kumpost ?.


🤣🤣🤣... Wanawake Huwa mko kwenye competition siku zote ....

Na ukweli nikua, Huwa mnakawaida ya kujilinganisha .

Mnapoona mwanaume Yuko na Mwanamke mkaliiiiii kwelikweli, hapo ndo Huwa mnavutiwa zaidi nahuyo mwanaume.

Yaan "Mmhhhh inaonekana Carlos anakitu mpaka kuoa Mwanamke kama yule "...


Wanawake mnakawaida ya kuvutiwa na mwanaume ambaye ama anazungumzwa /Vutiwa vizuri na Wanawake tofauti tofauti au anatoka na mwanamke mzuriiiii.

Ni Asili tu !!
Imesahau..wanapenda mwanaumr mcharuko🤣🤣🤣
 
Madem utawaweza, Brazil walivyotolewa, Status za Madem wengi wasap ilikua

"Ohoooo Pole My Neymar"

"Jamaan Brazil why??"

Na ma blaaaa blaaaah kibao !!.


Juzi ya Akina mbapeee ,basi jamaa

"mbapeeee wanguuuu "

Na mbalaaa blaaaah.


Wasiwasi wangu nikama Demu wako nayeye ameingis kwenye mkumbo wa PICHA ZA MBAPE ,alopigwa akionekana mbooo imesimama.


Hivi Wanawake unawajua?? Unaweza Hisi anamsifia Kila Mara Kwa sababu kafunga magoli, la hashaa, ni Kwa sababu ya hiyo picha mitandao .


Cha kufanya ??


Muulize Baby, Mbape anachezea Klabu gan???? Akikujibu, "Ufaransa"...


Mpige economic sanctions yaaan NO MATUMIZI.....huyo Mbape aanze kumtunza !!


🤣🤣
Weeee Huyo Mbappe na Neymar wallah me nawafata PSG 🤣🤣


Wekeni maskhara pembeni
Wajuba wana mvuto hao

Yan ni vile tu
Hatuna access
Tuacheni tuwapost

Me Mbappe yuko Wallpaper
 
Weeee Huyo Mbappe na Neymar wallah me nawafata PSG 🤣🤣


Wekeni maskhara pembeni
Wajuba wana mvuto hao

Yan ni vile tu
Hatuna access
Tuacheni tuwapost

Me Mbappe yuko Wallpaper
Sasa bahari nzuri Akina Mbappe na Neymar, ndo sisi hapa tulonanyi Hapahapa.
 
Back
Top Bottom