Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Hadi ndani mpole?Hamtutaki sisi Wapole![]()
Hadi ndani mpole?Hamtutaki sisi Wapole![]()
Kuna mdada hajawahi kumpost mume wake kwa status hata siku Moja,ila juzi kawekwa mbape siku mbili mfululizo.Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Kuna mdada hajawahi kumpost mume wake kwa status hata siku Moja,ila juzi kawekwa mbape siku mbili mfululizo.Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Kuna mdada hajawahi kumpost mume wake kwa status hata siku Moja,ila juzi kawekwa mbape siku mbili mfululizo.Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Si ndo hapo sasaKwa akili zenu mlihisi nyinyi tu ndo huwa mnatamani?
Sasa baby, embu fikiria Mimi sijawah postiwa, Leo hii Mbape anapostiwa anaambiwa Maneno matamuuu yakula aina .
Si ndo hapo sasaKwa akili zenu mlihisi nyinyi tu ndo huwa mnatamani?
Anacheza mpira kwa hisia Kali sana,afu ana chombo mtalimboIlikuwaje adinde vile?🤣🤣
Wacha bhanaShort chassis wanashukrani sana🤣🤣🤣🤣
Ngoma iko nyuzi 180 muda mwingiIlikuwaje adinde vile?🤣🤣
😄😄😄 na nyie si mlikua mnaringa na ile pisi ya #Croatia??Habari wakuu
Huyu binti katokea kumpenda sana Mbappe wa France kutwa kucha anampost na kumsifia na anamuita my heart choice.
Baada ya kugundua hilo kama mwanaume nimeamua nimute sina haja ya kuongea chochote maana ni kama sisi wengine ni hopeless kabisa.
Kwa nini umemsaliti andunje?Mi nampenda anacheza vizuri ila nilikuwa for Messi
😅😅😅😅...basi hapooo wenzio tunaimaginee tupoo close na Mbappe vile amekushika kiuonooo from ze back sideeee..halafuuu mdomo anakunon'goneza kwa sikio Awwwweeeeeeh...I'm sorry mr Carlos😅😅Nikweli mwapenda vizuri ,ila mvipende kimoyomoyo ,Sasa nyie Leo mnatufanyia unyanyasaji wa kijisinsia ulochanganyana na kisaikolojia khaaaa.
Sasa kama na kibamia nifanyeje ? Sio haki🤣🤣🤣
Kwan ukiishia hapo ...mpira Kwa Hisia Kali sana...Anacheza mpira kwa hisia Kali sana,afu ana chombo mtalimbo
Na yule mtangazaji wa dstv😄😄😄 na nyie si mlikua mnaringa na ile pisi ya #Croatia??
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa baby, embu fikiria Mimi sijawah postiwa, Leo hii Mbape anapostiwa anaambiwa Maneno matamuuu yakula aina .
Alafu usiku, Tumizi nitoe Mimi?? Sikukuu hizi ,Tumizi nitoe Mimi?.
Kwakweli amwambie Mbape tu🤣🤣
Itakua ni wale watu akiwa na furaha, huzuni, wasi wasi au uoga basi yeye ana dinda.... judging from hizo picha mbili tofauti moja alikua ana furaha na nyengine huzuniIlikuwaje adinde vile?![]()
Ukimposti mapenzi yanakwisha titfotat🤣🤣😄😄😄 na nyie si mlikua mnaringa na ile pisi ya #Croatia??
Nakojoaaaaaa
Daah we litundu😅Itakua ni wale watu akiwa na furaha, huzuni, wasi wasi au uoga basi yeye ana dinda.... judging from hizo picha mbili tofauti moja alikua ana furaha na nyengine huzuni